Kwa proffession yangu nalipwa according to normal government salary scales. Kinachoongezeka ni posho mbalimbali tu mkuu.mkuu vip lakin kibunda si kinaridhisha huko kati,japo mimi sijali kibunda
Mimi nilidhani huku kuna asali zaidiwakuu pccb haina fursa na maslahi kama immigration na hata pccb pindi waanapishwa mkuu wa mafunzo alisema anaomba utaratibu upatikane wa kuzuia maafisa pccb wanaokimbia ama kuhama kazi hiyo kwenda nyingine maada ya miaka 3 ya entry level. jaribuni kujiridhisha na hilo. kingine immigration ni miongoni mwa idara nyeti hata kuingia ndio maana pagumu kinoma.
Daah kumbe mimi nikajua huko ndio peponievidence ya kuwa pccb ni njaa hii hpa. saizi ukipata kazi kule kuhama lzma utumikie miaka mitano. watu wengi walikua wanakimbia
Mtu mwenye bahati zake sasa nenda kajichanganye wewe sasa [emoji1787]Duuuh!! Anania bhn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],huyu kwel udoja ulikuw kwny damu.[emoji1787][emoji1787]
TutAkapoangukia hukohukoDaah kumbe mimi nikajua huko ndio peponi
Sema kwa hali ya sasa kuna mtu anachagua kweli ?
Nawaza tu unavimba nadoji kwa akiliMadoja hawakosekani ila udoji kwa akili. Kufukuzwa ni chap sana. Na nafasi yako kuzibwa ni chap sana.Yani unafukuzwa leo. Kesho kutwa watu wanakuja kureport.
825kj OP Magufuli... Nilidoji intro , Passing Square na Siku ya kuapa...Nilikimbia Guard no.1 siku ya kwanza tu kabla hawajanikariri...safari ilikua ngumu lakini nilitoboaNawaza tu unavimba nadoji kwa akili
Mara siku hiyo picha linaungua [emoji1787]
Mimi naona bora ujile tu ..kitaa sio poa
Au mshua ako akiwa ni mkuu wa chuo cha ccp we doji tu [emoji3]
Mwaka gani mkuu??Mmezungumzia ish ya kudoje kuna mwana alikuwa anakata gogo mbele alaf anatengeneza kichaka nyuma yake analala maafande wakipita wanaona kinyaa wanasepa yule mwamba siku anadakwa maafande wenyewe walicheka sana alaf kilichofata kwenye foleni ya msosi alipewa yeye wa kwanza msosi mwingiiiii na water moyo uelee baba mbona dunia aloiona chungu Vasco Da Gama mixer kukwepa ndege alirudi anachechemea kama dem kavunjwa bK.
Mwingine alitoroka kaenda kwao mzazi kamkataa kamrudisha kambini kufika akasimamishwa mbele aimbe chenja ya
"Asiye penda jeshi atolokee saa8 za usiku......[emoji16]"
Kuna washkaji walitoka kambi ya wadada Ruvu maana walikuwa wengi sana ikabidi 200 waende Oljoro 200 makuyuni kufika afande alienda wapokea na gari lake wao mbele wana kimbia akipiga horn wanalala akipiga hon mbio ndefu then chini then wakala intro nyingine uwanja wa mbigili hadi wanamaliza 3days 6 walitoroka.
Kuna Mzee aliwaleta watt wake ngorongoro na serengeti ile wanafika wanatembea na mabeg yao kama wanaenda kutalii wakaambiwa eheeee subirini ukouko mzee ndo akaenda then wao wakabebeshwa mabeg kichwani waende mwendo wa kichura ngorongoro alitoboa serengeti alibaki kutoa michozi tu Mzee wao alidhani masikhara anakenuakenua meno maafande hawacheki na mutu full kukaza hakuna kuja kama unafanya shindano la miss.
Kambi imezungukwa na wanyama kama wote siku hyo nimedojr na washkaji zangu wawili baada ya msosi wa jion tukaona tuchelewe Hadi mida ya rolcall wee zikaanza pigwa filimbi wadudu/kuruti wa Mungu wote twende tukafoleni haraka maana wanyama wamezagaa karib na kambi hasahasa tembo(sikuwahi jua tembo ni mnyama hatari mpaka niliposikia story zake kwa maafande) basi bwana sisi wa3 tupo chaka tulitembea tumeshikana mikono kama wanawake uku tunalia Mungu asaidie tufike Kombania salama[emoji23][emoji23]ile siku sitosahau tunafika tunavibrate miguu kama vile tumepiga zoezi la kwenda Cuba[emoji16][emoji16]
I MISS THOSE DAYS MAKUYUNI 839KJ MUJIBU WA SHERIA.
Mkuu naomba niku PM tafadhali.Mtu yoyote akipata mchongo unaolipa zaidi anahama tu. Hata polisi watu wanaacha na kwenda kwingine kwenye maslahi makubwa zaidi.
Hahàhhahahaha ,nimechekaMimi nawaambia ndugu zangu Mungu kafanya miujiza yake majina yametoka upo kote kote polisi na uhamiaji au fire na polisi [emoji3]. Halafu unasema unaenda ccp
Labda kwa mapenzi yako binafsi na mahaba yaliyo juu unapenda uende uko
Ila tukiongea ukweli nyie wenyewe mnajua nasema hivi humu ndani ikitokea imewakuta hivyo mmepata kote kote hakuna atakaye enda huko labda MrBanks [emoji3] kidogo inaonekana anakupenda
Ila xmonster anayependa mshahara wa haraka haraka utamkuta tayari kasharipoti boma
Apo sawa mkuu,yani wanachukua related na wanachokitaka then huko ndio wataenda peana vitengoHuku huwa wanachukua wataalamu wa wanyama BVM au wale wa animal health production.
Nishawaambia humu wawe makini Sana wenye utimamu washajielewa,jana alinichekesha eti anadai kapoteza simu yule aliyemtumia docs zake amtumie tena inbox hivi ukipoteza simu hata jf nayo inaondoka?Wewe uliyempelekea huyu mtu application zako mkononi. Umejiridhisha mtu huyu yupo huko unapotaka kwenda? Sio Dhambi kutilia shaka mtu ila kuweni makini sana.
Nimepitia threads humu and this person wyneogoa anajitanabaisha kuwa ni mtu wa uhamiaji kwa muda mrefu. Inawezekana ikawa kweli but there must be some doubts if the same person was complaining about ajira portal profile Completion a year ago. Why should he bother with ajira portal if he has been in the system kwa muda mrefu?
Again it is just a hunch. He can be a genuine person or a person with a bad motive.
View attachment 2456959
[emoji16][emoji16]huyu ni Mimi kabisa true story[emoji1]Vijana mna morali kama zote......
Sasa wewe nenda polisi halafu uitwe kuimbisha chenja uimbe "Kazi ya jeshi ni ngumu, sio kama polisi... Pushapu kwenye godoro..[emoji441][emoji444][emoji445]....
[emoji3064][emoji3064]Hapo utatuletea mrjesho nini kitakukuta..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dadekii hadi introo [emoji3]825kj OP Magufuli... Nilidoji intro , Passing Square na Siku ya kuapa...Nilikimbia Guard no.1 siku ya kwanza tu kabla hawajanikariri...safari ilikua ngumu lakini nilitoboa
Sifa ukiwa doja usiwe na tamaa ya msosi.