MOSHI UFUNDI
JF-Expert Member
- Nov 25, 2022
- 526
- 1,222
Yes nimekosea ni tarehe 29Uhamiaji deadline ni tar 29 sio leo mkuu,tar 27 ni deadline ya maombi ya polisi
Si ajabu hapo utashangaa ukute bila upanga kutokea wanakutimuaNasikia CCP posho ni 70k per month.
Unatakiwa upasi suruali mpaka ule upanga uonekane vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
TISS ni idara ya usalama wa Taifa Ni taasisi kubwa inayojitegemea ila inakusanya watu kutoka taasisi nyingineMkuu hivi INTELIJENSIA(TISS) pia wanachaguliwa wakiwa CCP?
Nimekupata Mkuu.TISS ni idara ya usalama wa Taifa Ni taasisi kubwa inayojitegemea ila inakusanya watu kutoka taasisi nyingine
Mfano kuna Police wako Tiss eg DG wa TISS ametokea police
Kuna wanajeshi pia wako Tiss
Kuna UT wako Tiss nk
Lengo kubwa hawa watu wakusanye information kutoka taasisi nyingine zote.
Ila kuna idara ya upelelezi ndani ya Jeshi la police ila usichanganye hao ni police sio TUSS
Tupe lonja mkuuTISS ni idara ya usalama wa Taifa Ni taasisi kubwa inayojitegemea ila inakusanya watu kutoka taasisi nyingine
Mfano kuna Police wako Tiss eg DG wa TISS ametokea police
Kuna wanajeshi pia wako Tiss
Kuna UT wako Tiss nk
Lengo kubwa hawa watu wakusanye information kutoka taasisi nyingine zote.
Ila kuna idara ya upelelezi ndani ya Jeshi la police ila usichanganye hao ni police sio TUSS
C coy walikua na kajamaa flan hv kembamba sikakumbuki jinaMtabila namkumbuka mt mmoja hv asee alikuwa anatudosoa combania yetu c coy
TPdf hamna mkeka mzee baba iyo utasikia tu watu wanaenda kozi kikubwa we sahivi kabana na wakubwa nenda kambi kubwakubwa tegea magari ya vibopa wazito walilie shida.Kama hauna mbanga lakiniyeah tpdf tunasubiria mkeka wetu na sisi February hapo
CCP ni Miezi 9 ya heshima na taadhima.[emoji28]Yaani mfano itokee mtu una mbanga ya uhakika anakwambia uchague kati ya boma na ccp . ccp sio pa kwenda kwakweli
Yaani mtaani upo una beti na maisha na huko ccp uka beti tena..
Allaahuma amiiinTUNAKUMBUSHANA
Tusinyimane connection wakuu, (yes we agree with terms and conditions)
Ukisaidia mmoja unakuwa umesaidia wengi sana walio nyuma yake hivyo utaombewa na wengi.
TUKUTANE BOMA INSHALLAH
Op gani mkuu ilikuwaC coy walikua na kajamaa flan hv kembamba sikakumbuki jina
Yah ni kweli kabisakabsaa mf wanaotarajia kupiga kozi waliopo rts sahv ni maengneer,IT na madoctor walopita mwaka jana kuandkisha vyuoni walipita must,muhimbili n.k
Kaka muulize kama kuna nafasi za Tiss tusaidiane aseeJamaa wa ikulu kanihakikishia nafasi ngoja nivunje mkataba wangu wa TPA nisubiri mchongo wa polisi
mkuu wa ikulu umerudiiJamaa wa ikulu kanihakikishia nafasi ngoja nivunje mkataba wangu wa TPA nisubiri mchongo wa polisi
Walipita mwaka huu. Kuna washkaj walichukuliwa mwezi wa sita hivi. Hivi bado hawajaanza course?kabsaa mf wanaotarajia kupiga kozi waliopo rts sahv ni maengneer,IT na madoctor walopita mwaka jana kuandkisha vyuoni walipita must,muhimbili n.k
Kwann asikupeleke JW?Jamaa wa ikulu kanihakikishia nafasi ngoja nivunje mkataba wangu wa TPA nisubiri mchongo wa polisi
mkuu tiss huingii kirahisi hivo. unapigwa vetting ya kutosha then aliyeko ndani mybe aku recommend. hawachukui kma tunavpfaitia uhamiaji na polisi saizi.Kaka muulize kama kuna nafasi za Tiss tusaidiane asee
Nahisi hivyo. Ni kama ile jungle green kwa polisi .Hii huwa ni shamba dress ya immigration??
View attachment 2459436