Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Oya ndege tai kaka unanikumbusha mtabila 825kj wakuu tulikuwa tunadoji shamba, sasa captain shamba bwana alikuwa anaandika watu waliokuwa wanaenda shamba kila coy ili mradi akamate wale wasioenda awadosoe, sasa sisi coy yetu karani wetu alikuwa pisi muda wa rokoo ukifika anauliza nani ambaye hajaenda shamba anamuandika jina pembeni, bwana shamba akija anakuja na karatasi yake ya majina sasa alikuwa anajichanganya kumpa karani ile karatasi ya majina, alichokuwa anafanya yule karani alikuwa anachanganya kuita majina, oy huwezi amini hakamati hata mtu mmoja akirudishiwa karatasi yake ya majina akiangali walioenda shamba ni watu 30/tu na rokoo tupo watu zaidi ya 60, daaah hahahahaha mwenyewe alikubali mziki wetu
Mm sikuwahi enda shambani kabisa,..kule mtabila mbele ya maanga ya ngorongoro kuna mashamba makubwa sana walikua wanalima wakimbizi kipindi hyo
 
Me nimeanza kuwapenda kipind nasoma shule,shule niliyosoma ipo karibu na kambi ya FFU jinsi walivyo Smart zile uniform zao na kofia zao nyekundu na ni watu wa utayari muda wowote, kingine na vile me nimtu wa kupenda mazoez ya ukakamavu wa mwili,me huwa nikiwaona wamevaa full zile uniform nawashangaa sana jinsi wanavyopendeza na walivyosmart, kingine napenda shuruba Sana mimi mambo ya kukalia viti virefu siyakubali Sana kwangu Mimi.pia ni watu ambao huwaoni hovyo hovyo kwenye matukio yasiyo na mantiki Sana
Naomba kuongezea hapo;
muda mwingi ni kazi tu hupati muda wa kukaa tu na kuongelea mambo ya watu huko ofisini kwenye viti virefu...
Halfu lazma uwe fit siku zote za kazi yako
 
Me nimeanza kuwapenda kipind nasoma shule,shule niliyosoma ipo karibu na kambi ya FFU jinsi walivyo Smart zile uniform zao na kofia zao nyekundu na ni watu wa utayari muda wowote, kingine na vile me nimtu wa kupenda mazoez ya ukakamavu wa mwili,me huwa nikiwaona wamevaa full zile uniform nawashangaa sana jinsi wanavyopendeza na walivyosmart, kingine napenda shuruba Sana mimi mambo ya kukalia viti virefu siyakubali Sana kwangu Mimi.pia ni watu ambao huwaoni hovyo hovyo kwenye matukio yasiyo na mantiki Sana
Halfu jambo jingine ni furaha pia kufanya kazi unayoipenda na ya ndoto yako
 
wataalamu wa mambo wana kwambia kuna aina 4 ya watu wanao ingia Jeshini(chomboni) aijalish iwe (Home affair, ofisi ya Rais au wizara ya ulinzi na usalama kwetu hapa Tz.)

01. Mtu wa kwanza niyule anae ingia jeshini kwa sababu Tu nyumbani kwao ni wanajeshi au askarii. Family background yao inamlazimisha kwenda uko.

02. Ni mtu anaye ingia jeshini kwa sababu ana mapenzi toka moyoni nahapa ndipo tuna sema Good solider a born not made. For some case.

03. Huyu ni yule ambaye yeye kwa kuwa hali ya maisha yame mpiga hana namna anajitosa jeshini. Enverinmental issues. Kuwa na coensistance namaanisha uadilifu itategemea na uwelewa katika kuchanganua mambo.

04. Huyu bwana anatamani kuingia jeshini kwa nia ya kualalisha mambo yake machafu mf. Magendo,ubabe dhidi ya sheria kwa wasio usika, n.k hivyo ataingia ila akil yake ni tofaut na misingi ya kiutendaji anawaza dili zisizi na tija. Ila huwa hawakai muda sana...😆😆

Sisi tuko wapi....🚩
 
wataalamu wa mambo wana kwambia kuna aina 4 ya watu wanao ingia Jeshini(chomboni) aijalish iwe (Home affair, ofisi ya Rais au wizara ya ulinzi na usalama kwetu hapa Tz.)

01. Mtu wa kwanza niyule anae ingia jeshini kwa sababu Tu nyumbani kwao ni wanajeshi au askarii. Family background yao inamlazimisha kwenda uko.

02. Ni mtu anaye ingia jeshini kwa sababu ana mapenzi toka moyoni nahapa ndipo tuna sema Good solider a born not made. For some case.

03. Huyu ni yule ambaye yeye kwa kuwa hali ya maisha yame mpiga hana namna anajitosa jeshini. Enverinmental issues. Kuwa na coensistance namaanisha uadilifu itategemea na uwelewa katika kuchanganua mambo.

04. Huyu bwana anatamani kuingia jeshini kwa nia ya kualalisha mambo yake machafu mf. Magendo,ubabe dhidi ya sheria kwa wasio usika, n.k hivyo ataingia ila akil yake ni tofaut na misingi ya kiutendaji anawaza dili zisizi na tija. Ila huwa hawakai muda sana...😆😆

Sisi tuko wapi....🚩
2:mkuu
 
Back
Top Bottom