mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
shukrani mkuuNi kweli inaitwa Raphael Lubanga. Fatilia kwenye mahafali, CGI alitamka hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shukrani mkuuNi kweli inaitwa Raphael Lubanga. Fatilia kwenye mahafali, CGI alitamka hilo.
Mm sikuwahi enda shambani kabisa,..kule mtabila mbele ya maanga ya ngorongoro kuna mashamba makubwa sana walikua wanalima wakimbizi kipindi hyoOya ndege tai kaka unanikumbusha mtabila 825kj wakuu tulikuwa tunadoji shamba, sasa captain shamba bwana alikuwa anaandika watu waliokuwa wanaenda shamba kila coy ili mradi akamate wale wasioenda awadosoe, sasa sisi coy yetu karani wetu alikuwa pisi muda wa rokoo ukifika anauliza nani ambaye hajaenda shamba anamuandika jina pembeni, bwana shamba akija anakuja na karatasi yake ya majina sasa alikuwa anajichanganya kumpa karani ile karatasi ya majina, alichokuwa anafanya yule karani alikuwa anachanganya kuita majina, oy huwezi amini hakamati hata mtu mmoja akirudishiwa karatasi yake ya majina akiangali walioenda shamba ni watu 30/tu na rokoo tupo watu zaidi ya 60, daaah hahahahaha mwenyewe alikubali mziki wetu
Mmeanza kupata woga sasa...tutulie machifuMkuu mkesha unakuwa ukisindikizwa na madoso au mwendo wa chenja tu.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kambi za kigoma zote ni noumaDadeki kambi za kigoma sio. Nilipita Kanembwa enzi zetu. Tulikuw tunakula scale za hatari sana..hamna cha mujibu wala kujitolea
Ilikuwa written tuNataman kujua walioenda usaili UT...walifanya written tu au kuna oral pia?
Naomba kuongezea hapo;Me nimeanza kuwapenda kipind nasoma shule,shule niliyosoma ipo karibu na kambi ya FFU jinsi walivyo Smart zile uniform zao na kofia zao nyekundu na ni watu wa utayari muda wowote, kingine na vile me nimtu wa kupenda mazoez ya ukakamavu wa mwili,me huwa nikiwaona wamevaa full zile uniform nawashangaa sana jinsi wanavyopendeza na walivyosmart, kingine napenda shuruba Sana mimi mambo ya kukalia viti virefu siyakubali Sana kwangu Mimi.pia ni watu ambao huwaoni hovyo hovyo kwenye matukio yasiyo na mantiki Sana
NdioULishawah kufanya usaili wao boss?
Huyo Raphael lubanga ndiyo Nani wakuu hadi akatukuzwaNi kweli inaitwa Raphael Lubanga. Fatilia kwenye mahafali, CGI alitamka hilo.
Veta kuna kozi ya kubeba mizigo?TPA now kipaumbele ni watu wa veta
Ilikuwa written tu
Halfu jambo jingine ni furaha pia kufanya kazi unayoipenda na ya ndoto yakoMe nimeanza kuwapenda kipind nasoma shule,shule niliyosoma ipo karibu na kambi ya FFU jinsi walivyo Smart zile uniform zao na kofia zao nyekundu na ni watu wa utayari muda wowote, kingine na vile me nimtu wa kupenda mazoez ya ukakamavu wa mwili,me huwa nikiwaona wamevaa full zile uniform nawashangaa sana jinsi wanavyopendeza na walivyosmart, kingine napenda shuruba Sana mimi mambo ya kukalia viti virefu siyakubali Sana kwangu Mimi.pia ni watu ambao huwaoni hovyo hovyo kwenye matukio yasiyo na mantiki Sana
Yale mabio ya asubuhi na kero za mwangosi mkialibu kazi saa kumi kwenye kidibwi aiseee lile sitalisahau kamwe
Hahaha kijana wa Mwangosi..kama ulikuw huko basi tulikuw wote boss.
Hahahaha ulikuwa mtabila ndege taiMm sikuwahi enda shambani kabisa,..kule mtabila mbele ya maanga ya ngorongoro kuna mashamba makubwa sana walikua wanalima wakimbizi kipindi hyo
Raphael Kubaga. Alikuw ni mkuu wa uhamiaji wa mwanzo kabisa 1969- 1983Ni kweli inaitwa Raphael Lubanga. Fatilia kwenye mahafali, CGI alitamka hilo.
Mzee yule dah...hivi bado hawajampandisha tu cheo 😂😂 au wanataka astaafie palepale maana mzee anauota U RPC sio poaYale mabio ya asubuhi na kero za mwangosi mkialibu kazi saa kumi kwenye kidibwi aiseee lile sitalisahau kamwe
noted mkuuRaphael Kubaga. Alikuw ni mkuu wa uhamiaji wa mwanzo kabisa 1969- 1983
Watampa tu maana best yake sindo kawa IGP maana walipiga depo ya kuruta na wamburaMzee yule dah...hivi bado hawajampandisha tu cheo [emoji23][emoji23] au wanataka astaafie palepale maana mzee anauota U RPC sio poa
2:mkuuwataalamu wa mambo wana kwambia kuna aina 4 ya watu wanao ingia Jeshini(chomboni) aijalish iwe (Home affair, ofisi ya Rais au wizara ya ulinzi na usalama kwetu hapa Tz.)
01. Mtu wa kwanza niyule anae ingia jeshini kwa sababu Tu nyumbani kwao ni wanajeshi au askarii. Family background yao inamlazimisha kwenda uko.
02. Ni mtu anaye ingia jeshini kwa sababu ana mapenzi toka moyoni nahapa ndipo tuna sema Good solider a born not made. For some case.
03. Huyu ni yule ambaye yeye kwa kuwa hali ya maisha yame mpiga hana namna anajitosa jeshini. Enverinmental issues. Kuwa na coensistance namaanisha uadilifu itategemea na uwelewa katika kuchanganua mambo.
04. Huyu bwana anatamani kuingia jeshini kwa nia ya kualalisha mambo yake machafu mf. Magendo,ubabe dhidi ya sheria kwa wasio usika, n.k hivyo ataingia ila akil yake ni tofaut na misingi ya kiutendaji anawaza dili zisizi na tija. Ila huwa hawakai muda sana...😆😆
Sisi tuko wapi....🚩