Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Namba 2 tena FFU,
 
Lonja imeshiba hii
 
Kwahyo ukikutwa mchafu haufukuzwi ni unakula adhabu ?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Watu wengi hawapendagi kwata .


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
kwata bwana lina raha yake aisee. Mwendo na blass band📯📯🎷🎷🎶 ni kisanga mnooo😂😂😂
Piga buno moja yakale utawalaaa
 
Ahhh!![emoji28]!! ***** sisi wengine madoja tangu tunasoma asa sijui itakuaje!!.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Graduates wengi ni number 3

Wanaingia jeshini kwa sababu ni vile watafanyaje maisha magumu ajira hakuna za zile fani waliosemea sio kama wanalipenda jeshi

Wengi wao ni mujibu wa sheria ,[emoji3].

Yule alienda kujitolea anajua nini anatafuta toka mwanzo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu tunakumbushwa suala la minazi hapa [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mlevi mmoja [emoji23] hili swali na jina unalotumia nna uhakika maswala ya usafi yamekupita kushoto
Mimi ningeenda huko wangenitimua kwa uchafu maana pasi nimepiga baada ya kwenda interview yangu ya kwanza. Hata suruali za vitambaa nimeanza kununua baada ya kumaliza chuo maana nilijua tu nitaitumia kwenye ajira na kazini sijawahi piga pasi kwanzia msingi mpka sekondari hata chuo .

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…