Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mtu hana sifa ata moja kivipi aise ?
Unatuchanganya kidgo mtaalamu wa lonja uko MM
 
Choo Cha Kulipia una Lonja tamuu Sana...Upo Jikoni nini Mkuu ahhahahahaha
 
Hahaahahah Mkuu Kila Sehemu Kuna taratibu zakee
 
umeshapita mzee jiandae tu kuwa ofisa wa polisi, maana kuanzia elimu ya form 6 huwa mwsho wa sku wanapewa vyeo vkubwa. Jiandae kula mema ya nchi
Hivyo vyeo polisi si nasikia unaweza sotea zaid ya miaka 10 kufika level ya inspekta tu,..by the way nimepokea simu yao jtatu usaili pale kurasini
 
Mi
Anaepita pale oysterbay Police awe anatujuza kwa watu wa dsm
Mimi binafsi nilikuta missed call kwenye namba yangu maalumu ambayo nimeitenga kwa ajili ya mambo ya kazi, nikapiga wakaniambia ni polisi, jtatu usaili kurasini
 
umeshapita mzee jiandae tu kuwa ofisa wa polisi, maana kuanzia elimu ya form 6 huwa mwsho wa sku wanapewa vyeo vkubwa. Jiandae kula mema ya nchi
Acha kuwadanganya madogo ukiwa na form six utabaki kuwa askari wa kawaida tu au labda upate koplo hata wenye diploma huishia kupata vyeo vya kawaida tu. Kule polisi ishu ni degree hivyo madogo mukipata ajira hakikisheni mnajindeleza wale wenye manyota msidhani ni form four au six wengi wao wana digrii,masters...n.k
 
[emoji38]humu vijana msipokuwa makini mtaingizwa cha kike na matapeli.

Kuna mtu kasema ana shahada na kaitwa usaili jtatu Kurasini.
 
ushawahi kuusoma muongozo wa vyeo vya polisi?
 
Wakubwa,kama mnasubiria majina yatoke mtasubir sana...njia wanayotumia kuwaita watu kwenye usaili ni kwa kupiga simu na watu wamepigiwa wengi tu
Mmmmhhh Acha Kutisha watu.Wao walishasema taarifa Rasmi zitatoka Kupitia Mitandao na tovuti yao.Mbona taarifa zao zote zimekuwa hivyo.Acha kuandaa kutapeli watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…