Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nilikuwa mnyonge Sana kile kipindi hadi nikakonda
Alafu watu hawakujua nilikondeshwa na Nini Zaid ya mama angu
 
Nashukuru sana Mkuu
Walikaa sana makutopora badae kuna wazee wakapigwa ndoige baada ya usaili....wakasugua tena ndio wakatengwa wenye bachela wakaja DSM kambi ya Abdala twalipo na waliobaki wa diploma wakaenda msata.....Abdala twalipo wakapigwa usaili tena mkali jamaa aliniambia masaa mawili mama.e.......ndio wakapewa namba za ajira za private wakatimka zao TMA dec mwanzoni sahv wanaumia huko.........

Lonja ni kuwa kozi ina watoto wa wakubwa wa kutosha hadi watoto wa CDF huyu mkunda wapo mzigoni na watoto wengine wa majenerali na pia hao proffesionals engineers na doctors wanahitajika haraka wakalitumikie jeshi so dizain kozi itakuwa mtelezo

So mzee ushachelewa.
 
Eeeh hapa nishachelewa na course kweli kwa dizain hiyo itakuw mteremko ngoja tupambane kwingine tu.
 
Hivi wanaochaguliwa kujiunga polisi wote wanaenda mafunzo CCP Moshi au Kuna wengne wanaenda vyuo vingne vya polisi Kama kilichopo Dar?
 
Mm najuaga kwamba pdf ya kwanza ndio inakuwa na majina ya watu wote from form4, certificate, diploma na degree. Sasa hapa kwenye kupigiwa simu sijajua huwa inakuwaje

Pdf ya kwanza inakuwa na majina yote ya usaili wa kwanza na pdf ya pili inakuwa na majina ya wateule wachache waliochaguliwa kwenda Dodoma makao makuu kwa usaili wapili then wanaenda ccp.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…