Kumbe usaili huwa n Mara mbili...Mm najuaga kwamba pdf ya kwanza ndio inakuwa na majina ya watu wote from form4, certificate, diploma na degree. Sasa hapa kwenye kupigiwa simu sijajua huwa inakuwaje
Pdf ya kwanza inakuwa na majina yote ya usaili wa kwanza na pdf ya pili inakuwa na majina ya wateule wachache waliochaguliwa kwenda Dodoma makao makuu kwa usaili wapili then wanaenda ccp.
Mwenye jibu hapa....Hivi wanaochaguliwa kujiunga polisi wote wanaenda mafunzo CCP Moshi au Kuna wengne wanaenda vyuo vingne vya polisi Kama kilichopo Dar?
mkuu,jamaa anadai wale walio ombea kambi za mikoani ndio wameanza kupigiwa simu, na inakua hvo always. mybe tumuulizie mshikaji ni mkoa upi wameanza kupiga tayari watu simu?Mm najuaga kwamba pdf ya kwanza ndio inakuwa na majina ya watu wote from form4, certificate, diploma na degree. Sasa hapa kwenye kupigiwa simu sijajua huwa inakuwaje
Pdf ya kwanza inakuwa na majina yote ya usaili wa kwanza na pdf ya pili inakuwa na majina ya wateule wachache waliochaguliwa kwenda Dodoma makao makuu kwa usaili wapili then wanaenda ccp.
Good news sasa tukae Mkao wa kula Makamanda .Haya si mnataka lonja....
Wale waliotuma barua zao kwa Ma RPC, usaili unaaanza tarehe 2 mwezi wa kwanza, zitatofautiana kulingana na mikoa.
Siku zote ukiomba mkoani kila kitu hatua zote zinafanyika mkoani tu , PDF ya mwisho ndiyo itakuja na majina ya watu wote wale na mikoani na wataokao fanya usaili makao makuu hawa ni watu wa faniMm najuaga kwamba pdf ya kwanza ndio inakuwa na majina ya watu wote from form4, certificate, diploma na degree. Sasa hapa kwenye kupigiwa simu sijajua huwa inakuwaje
Pdf ya kwanza inakuwa na majina yote ya usaili wa kwanza na pdf ya pili inakuwa na majina ya wateule wachache waliochaguliwa kwenda Dodoma makao makuu kwa usaili wapili then wanaenda ccp.
Siyo kweli mkuu PDF ya mwisho ndiyo inakuwa na watu wote ila hapa mwanzoni watu mikoani Mambo huisha mikoani mfano mwaka jana me nilifanya usaili mkoani kwanguMm najuaga kwamba pdf ya kwanza ndio inakuwa na majina ya watu wote from form4, certificate, diploma na degree. Sasa hapa kwenye kupigiwa simu sijajua huwa inakuwaje
Pdf ya kwanza inakuwa na majina yote ya usaili wa kwanza na pdf ya pili inakuwa na majina ya wateule wachache waliochaguliwa kwenda Dodoma makao makuu kwa usaili wapili then wanaenda ccp.
Sawa nmekuelewa, ww uliombea kwa nagzi ya cheti cha form 4?Siyo kweli mkuu PDF ya mwisho ndiyo inakuwa na watu wote ila hapa mwanzoni watu mikoani Mambo huisha mikoani mfano mwaka jana me nilifanya usaili mkoani kwangu
Nilijua majina yote ya walioomba mikoani na wale wa professionals yote yanatumwa kwenda makao makuu na wanawekwa kwenye pdf moja. Nimekupata vyemamkuu,jamaa anadai wale walio ombea kambi za mikoani ndio wameanza kupigiwa simu, na inakua hvo always. mybe tumuulizie mshikaji ni mkoa upi wameanza kupiga tayari watu simu?
Mwaka jana niliombea kwa cheti cha six ila mwaka huu nimeomba kwa fani,in shortly huko mikoani ni kugumu Sana kutoboa kma hauna connection huko suala la kupachikwa watu ni rahisi mno tena mno SanaSawa nmekuelewa, ww uliombea kwa nagzi ya cheti cha form 4?
Kweli kabsa kama majina yanatoka mkoani kwenda makao hapo balaa lipo haswaa na upendeleo aisee.Mwaka jana niliombea kwa cheti cha six ila mwaka huu nimeomba kwa fani,in shortly huko mikoani ni kugumu Sana kutoboa kma hauna connection huko suala la kupachikwa watu ni rahisi mno tena mno Sana
Sawa kk hapo makao makuuDiploma
Mikoa ambayo ina kambi au kambi nyingi za jkt ndiyo hupewa upendeleo mkubwaKweli kabsa kama majina yanatoka mkoani kwenda makao hapo balaa lipo haswaa na upendeleo aisee.
Sasa kwa mfano mkoa wa Dodoma au Kagera unaweza kuwa na nafasi sawa za watu wanaohitajika kwa ngazi ya form4?
Ndio nawaza hapa sasa kama kamanda wa mkoa ana watu wake 5 na hao wengine wana watu wao wengine bado wakuu wa vituo, wakuu wa makambi wana watu wao kweli upinzani ni mkubwa hapo mkoani.Huko mikoani kunataka refa wakukupiga push lasivyo hutoboi Kabisa
Sijakuelewa vizuri mkuu.Kupitia makao makuu afadhal unafuu upo nina marafik zangu kupitia fani wameenda usaili makao makuu wote walibahatika wakapata ajira pasi na connection polisi na uhamiaji japokuwa baba kantuma hawakosekani ila wanaopita bila connection ni wengi tu
Ndio mkuu sema unafanyikaga kurasini DSM was polis sijajua this time itakuwa Dom au DSM tena , uhamiaji ni Dom,au we ulijua ni mkoaniSijakuelewa vizuri mkuu.
Kwamba usahili wa professionals hufanyikia makao makuu Dodoma au?
Sent using Jamii Forums mobile app