Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Sio poa inakazwa mpk oral
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sn acha tu
 
Mafunzo ya miezi 9 kila siku unaamka saa 6 kasoro za usiku unasema mserereko?una shida wewe yani huko magereza wenye utimamu kidogo ni hao Kmkm ila wengine ni wala chipsi watoto laini.
Lakin vitani magereza anaenda lakini haendi
 
Acha tu mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me kuna mshkaji wangu yeye aliingia Jw kwa mara ya kwanza mwaka huu alimaliza Msata ana degree ya ualimu hivi tunavyoongea na yeye kapata shavu yupo Monduli kaingia mwezi wa 12 na mwingine yeye kaenda Poland.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…