Balozi limited
JF-Expert Member
- Jun 6, 2022
- 989
- 2,565
Sio poa inakazwa mpk oral[emoji3][emoji3] hii nchi ukipata lazima umsahau mwenye njaa
Hapo utumishi hao wasimamizi wanavyokaza na mitihani inavyotungwa unasema hawa jamaa walikuwa wasaka ajira kweli
Kama ule usaili wa ofisi ya bunge ngoma jiwe ukicheki matokeo ni sifuri na namba za viatu kama zote [emoji3].
Hapo ukute mwamba ametoka kigoma na nauli yake anaenda pata sifuri Dodoma
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app