mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
ok mkuuNdo nmeuliza makamanda wanipe majibu sijapewa mana tunajua rushwa wanajitegemea kule visiwani kuna KMKM
Hamna mkuu nilijaribu kuwaza tu kua nchi yetu ina mikoa isiyopungua 30.Usiende basi kwenye usaili ukiitwa. wenye connection ni sawa wapo lakini we kajaribu bahati yako mkijiaminisha sana kwenye connection hata usaili mtafanya ovyo hususani fani kwa kuamini connection we kapige usaili wako vizuri then sikilizia pdf ukipata shukuru ukikosa pia shukuru.Mwaka jana kuna watu mbona walipata bila connection??? Vijana mna mteru sana
pdf la watu 3000 mwaka janaHamna mkuu nilijaribu kuwaza tu kua nchi yetu ina mikoa isiyopungua 30.
Na kila mikoa ina ma ACP wasiopungua wanne.
Nikaja kuwaza pdf ya mwaka jana bachelor 97 tu ndio waliochukuliwa.
Nakajiwaza na mimi na ndio nika conclude hivo.
By the way ulikua mtazamo huru tu.
Sent using Jamii Forums mobile ap
Kweli kabsa selected walikuwa 97 Degree holders out of 600 na zaidi waliofanya usaili mwaka jana.pff
pdf la watu 3000 mwaka jana
97 pekee ndio walikua degree holder?
Pamoja mkuu kwani mwaka jana pia waliweka msururu wa course za bachelor kama mwaka huu almost wanahitaji degree 67 mwaka huu na kumbuka kila degree ina uhitaji wake apoHamna mkuu nilijaribu kuwaza tu kua nchi yetu ina mikoa isiyopungua 30.
Na kila mikoa ina ma ACP wasiopungua wanne.
Nikaja kuwaza pdf ya mwaka jana bachelor 97 tu ndio waliochukuliwa.
Nakajiwaza na mimi na ndio nika conclude hivo.
By the way ulikua mtazamo huru tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu.pff
pdf la watu 3000 mwaka jana
97 pekee ndio walikua degree holder?
kumbuka mwaka jana hapakuwa na kiambatanisho B yenye list ya degree programmes .nadhan safari hii uhitaji huenda ukawa mkubwa mkuuKweli kabsa selected walikuwa 97 Degree holders out of 600 na zaidi waliofanya usaili mwaka jana.
ngoja tusubirie pdf mkuu wanguNdio mkuu.
Ila naona intake hii watakua wengi kidogo maana outlined programs zilikua nyingi kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka jana kiambatanisho B kilikuwepo na kulikuwa na professional za degree hazizidi 10 na walioenda usaii kwa ngazi ya degree ni zaidi ya 600 ila walichaguliwa 97 degree holderskumbuka mwaka jana hapakuwa na kiambatanisho B yenye list ya degree programmes .nadhan safari hii uhitaji huenda ukawa mkubwa mkuu
Mkuu kwa logic ya kawaida.Pamoja mkuu kwani mwaka jana pia waliweka msururu wa course za bachelor kama mwaka huu almost wanahitaji degree 67 mwaka huu na kumbuka kila degree ina uhitaji wake apo
saiz ni zaid ya program 50 huko nadhani. uwanja ni mpana mkuuMwaka jana kiambatanisho B kilikuwepo na kulikuwa na professional za degree hazizidi 10 na walioenda usaii kwa ngazi ya degree ni zaidi ya 600 ila walichaguliwa 97 degree holders
Tuendelee kusubiri ndugu yangu maana ajira kwa Tanzania zimekua kizungumkuti.saiz ni zaid ya program 50 huko nadhani. uwanja ni mpana mkuu
Dar ina kambi 4 za jkt, mlalakua,kimbiji ,mbweni na mgulani sijui itakuaje huo usahilyen
Hizo ni kambi za maleziDar ina kambi 4 za jkt, mlalakua,kimbiji ,mbweni na mgulani sijui itakuaje huo usahili
Mwaka huu wameweka degree programs 66 na kuna nyingine zinahitaji watu 1, 2 na professional nyingine zinagitaji zaidi ya 3 na kuendelea so kwenye kila professional kuna uhitaji wake kaka.saiz ni zaid ya program 50 huko nadhani. uwanja ni mpana mkuu
hyo ikowazi man angu. huko utumishi tunagombeaga mpaka post 3Tuendelee kusubiri ndugu yangu maana ajira kwa Tanzania zimekua kizungumkuti.
Mtu aliyekaba kitengo anakaba kweli na kuhakikisha nduguze pia walamba asali.
Sent using Jamii Forums mobile app
bongo kupata ajira ni mtitiMwaka huu wameweka degree programs 66 na kuna nyingine zinahitaji watu 1, 2 na professional nyingine zinagitaji zaidi ya 3 na kuendelea so kwenye kila professional kuna uhitaji wake kaka.
Sasa ukute Doctor wanahitajika 3 halafu Marine engineer 2, accountant 1, maybe lingustic 1 aisee ni bahatii tuu huku electrical engineer 2 huku civil engineer 2 halafu ukute compute 1 au IT master 1. Hapo wameomba watu zaidi ya 100 kwenye professional moja mfano computer au IT
We feli tu, hatuitani kwenye kuomba alaf unataka maombi yetuWadau niombeeni niko kw interview hapa,majamaa bdo hawajaingia. Shavurugwa tyr[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ktka hizo kambi kuna ambazo Zina recruit kurutaDar ina kambi 4 za jkt, mlalakua,kimbiji ,mbweni na mgulani sijui itakuaje huo usahili
sio fresh kutoa kauli hzi kwa cc watafutajiWe feli tu, hatuitani kwenye kuomba alaf unataka maombi yetu