Kah!![emoji16]Pt za ndaani
fairness ipo ,ila degree holders usipojuana na fulani kutoboa sali sana wakuu coz waliotuma maombi upande wa degree ni wengi balaa.
ni hayo kwa leo
japo nafahamu watu mnalonja ila mnakausha
Ndio maana nilisema na nitaendelea kusema kuwa vijana waliogopa tu kuomba ila waliojaribu wataitwa. Vile vigezo kiuhalisia havipo applicable kwa wengi.Pia wale wa mkoani upinzani mkubwa unatoka kwa karanga mzee, karanga ni wengi maana hawaliamini bogi la JW la mwezi wa 2 , tunywe maji mengi. Zima moto wangelegeza vigezo huu uzi hakuna mtu angesalia maana baba kantuma wangetoshea na wanyonge tungepata maana nafasi zingekuwa nyingi.
Jamaa yangu alikatwa bogi ujenzi yupo tanga alikuwa kanembwa anakuambia zimamoto wenye vigezo kambini walikuwa saba tu(can you imagine?) Hizo nafasi zitaenda wapi sasa??
Tunywe maji mengi safari hii tutapata InshaAllah
Wengine tunapenda kwenda Congo na Mozambique uko tukauwane na magaidi vitani.Mimi napenda PT staki habari ya kukaa mipakani
nn mkuu
PT anapokea ngapi mkuu?Huyo
Huyo luteni kaka utakuta ana form 6 tu anapokea hiyo. Nenda kaulizie nyota mbili ya polisi anapokea ngap mkuu [emoji23][emoji23] of course polisi utakuw na side hustle za kitaa
Ngoja nimuulize jamaa wa ikulu kabla sijatoka TPA nisije kujuta baadaePT anapokea ngapi mkuu?
Hapo changa karata vizuri mkuuNgoja nimuulize jamaa wa ikulu kabla sijatoka TPA nisije kujuta baadae
Mtaani kubaya broNgoja nimuulize jamaa wa ikulu kabla sijatoka TPA nisije kujuta baadae
Hao ni intake ya kawaida tuDuh basi hawa jamaa watatuchanganya mpaka basi [emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo walioko msata ni kina nani mkuu
Nyota mbili polisi anachukua ngapi mkuu ?Huyo
Huyo luteni kaka utakuta ana form 6 tu anapokea hiyo. Nenda kaulizie nyota mbili ya polisi anapokea ngap mkuu [emoji23][emoji23] of course polisi utakuw na side hustle za kitaa
Mimi naona hii ishu ya vigezo huwa wapo makini sana labda uwe na mbanga kweli kweli ndio maana vijana wengi hawakuomba kuogopa kupoteza gharama zao of course unaeza itwa Ila kwenye usaili ukakatwa sasa ndio niniPia wale wa mkoani upinzani mkubwa unatoka kwa karanga mzee, karanga ni wengi maana hawaliamini bogi la JW la mwezi wa 2 , tunywe maji mengi. Zima moto wangelegeza vigezo huu uzi hakuna mtu angesalia maana baba kantuma wangetoshea na wanyonge tungepata maana nafasi zingekuwa nyingi.
Jamaa yangu alikatwa bogi ujenzi yupo tanga alikuwa kanembwa anakuambia zimamoto wenye vigezo kambini walikuwa saba tu(can you imagine?) Hizo nafasi zitaenda wapi sasa??
Tunywe maji mengi safari hii tutapata InshaAllah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mara ya pili unarudia hii kaka,kwel imekuuma sn,t.v ya kichogoMimi nataka
Polisi ili nikamkamate jambazi eliyetuibia t.v. yetu ya kichogo mwaka 1979
Si nilikwmbia wa diploma mkuuDuh basi hawa jamaa watatuchanganya mpaka basi [emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo walioko msata ni kina nani mkuu
Mkuu upo vizuri sana........nifanyie mpango boss na mimi niingie chomboniwalipo enda makutupora kupiga wengi mule walichomekwa had darasa la 7 wengine sio madokta sio mainjinia kwahiyo walivo maliza reflesh ya jkt miez mitatu wakafanyiwa tena usahili Wale ambao wana shahada wakachukuliwa kwenda dar kambi ya TAU ndio ambao wapo TMA sahiz wale walio baki wameenda msata wanasubir kupiga kozi hawaja changanywa na wale millitary science ambao walichukuliwa mujibu wa sheria wao wanasubir Bogi liende