Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Pia wale wa mkoani upinzani mkubwa unatoka kwa karanga mzee, karanga ni wengi maana hawaliamini bogi la JW la mwezi wa 2 , tunywe maji mengi. Zima moto wangelegeza vigezo huu uzi hakuna mtu angesalia maana baba kantuma wangetoshea na wanyonge tungepata maana nafasi zingekuwa nyingi.

Jamaa yangu alikatwa bogi ujenzi yupo tanga alikuwa kanembwa anakuambia zimamoto wenye vigezo kambini walikuwa saba tu(can you imagine?) Hizo nafasi zitaenda wapi sasa??

Tunywe maji mengi safari hii tutapata InshaAllah
Ndio maana nilisema na nitaendelea kusema kuwa vijana waliogopa tu kuomba ila waliojaribu wataitwa. Vile vigezo kiuhalisia havipo applicable kwa wengi.
 
Huyo

Huyo luteni kaka utakuta ana form 6 tu anapokea hiyo. Nenda kaulizie nyota mbili ya polisi anapokea ngap mkuu [emoji23][emoji23] of course polisi utakuw na side hustle za kitaa
PT anapokea ngapi mkuu?
 
Huyo

Huyo luteni kaka utakuta ana form 6 tu anapokea hiyo. Nenda kaulizie nyota mbili ya polisi anapokea ngap mkuu [emoji23][emoji23] of course polisi utakuw na side hustle za kitaa
Nyota mbili polisi anachukua ngapi mkuu ?
 
Pia wale wa mkoani upinzani mkubwa unatoka kwa karanga mzee, karanga ni wengi maana hawaliamini bogi la JW la mwezi wa 2 , tunywe maji mengi. Zima moto wangelegeza vigezo huu uzi hakuna mtu angesalia maana baba kantuma wangetoshea na wanyonge tungepata maana nafasi zingekuwa nyingi.

Jamaa yangu alikatwa bogi ujenzi yupo tanga alikuwa kanembwa anakuambia zimamoto wenye vigezo kambini walikuwa saba tu(can you imagine?) Hizo nafasi zitaenda wapi sasa??

Tunywe maji mengi safari hii tutapata InshaAllah
Mimi naona hii ishu ya vigezo huwa wapo makini sana labda uwe na mbanga kweli kweli ndio maana vijana wengi hawakuomba kuogopa kupoteza gharama zao of course unaeza itwa Ila kwenye usaili ukakatwa sasa ndio nini

Mwaka jana magereza waliita usaili mkoani form 4 Hadi form 6 waliitwa ...ila walitaka kuanzia division four ila kwenye usaili wakaenda kuwakata sasa waliwaita wa nini

Ndio hayo hayo unakutana nayo kwenye fire
 
walipo enda makutupora kupiga wengi mule walichomekwa had darasa la 7 wengine sio madokta sio mainjinia kwahiyo walivo maliza reflesh ya jkt miez mitatu wakafanyiwa tena usahili Wale ambao wana shahada wakachukuliwa kwenda dar kambi ya TAU ndio ambao wapo TMA sahiz wale walio baki wameenda msata wanasubir kupiga kozi hawaja changanywa na wale millitary science ambao walichukuliwa mujibu wa sheria wao wanasubir Bogi liende
Mkuu upo vizuri sana........nifanyie mpango boss na mimi niingie chomboni
 
Ambao hatuna connection Mambo yanakuwa magumu sn kupata hzi kazi za majeshi. Ukifikiria umesoma kwa shida,bdo upate shida kwny kusaka kaz[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom