[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] et na kigugumizi changuAmin ndugu wa damu miyeyusho tu sometimes Sasa me nilikuwa nataka niingie kwenye vyombo vya usalama kuna ndugu mwingine akawa anawajaza watu wa connection et me namkatalia kuingia kwenye ualimu Sasa me na kigugumizi changu nikamfundishe mtt wa nani atanielewa pumbav zake
Jamaa wa ikulu huwa akiniona anajichekesha tu ananiambia nitulie mambo mazuri yanakuja nitapiga kozi huku wakufuzi wananinyenyekea (kitu ambacho sidhani)Jamaa wa ikulu anasemaje asaivi?? Kitaa jaksi mnoo
mkuu hv TPA na PT mbona kama mbingu na ardhi. bdo siamini kama unaweza kuikacha kazi ya bandarini na kujitosa polisi ama UT. vp mzee ama mchongo wako hpo sio wa kudumu??Hapo kwenye talent ndio issues ilipo labda kwa mawazo yake yeye anaona ualimu ni kazi ambayo haina changamoto saana
Nakumbuka baada ya lile shambulio la askari wa JW kuuwawa DRC mtaani kwetu kuna luten kanal alikuwa kaingiza vijana wanne wa pale mtaani JKT sasa wamama wa hao watoto wakaenda kumdai Luten kanal awarudishe watoto wao [emoji23][emoji23]
Na wakawa hawamsemeshi kabisa hata mke wa luten kanal but now wote watatu wamejengewa nyumba na hao watoto wao ...likitokeaga tukio pale kwa luten wale wamama ndio wanakuwa wa kwanza kutoa msaada
Huwa wanaenda kupalilia majani na kumlimia (hivi vishamba vya mjini)
Mzee hizo kozi za Afisa kadeti huwa sio poa..nidhamu ni hali ya juu sana kuna mwana alituhadithia kipindi wapo coarse kuna jamaa alivaa kandambili za mwenzake kwenda kukoga bila ruhusa ya mwenye kanda mbili...jamaa aliechukua kandambili alifukuzwa mafunzo akihesabika yeye ni mwizi unachukuaje kitu cha mtu bila ruhusa
Anataka akamate mwizi wa Hitachi yao ya 1979 labda atarudi tena Peponi[emoji16][emoji23]mkuu hv TPA na PT mbona kama mbingu na ardhi. bdo siamini kama unaweza kuikacha kazi ya bandarini na kujitosa polisi ama UT. vp mzee ama mchongo wako hpo sio wa kudumu??
Ova ova back ups are on the way ova.Mamaee ova
One man down ova
I Get you Bravo ova
Kabla ya ajira za upolisi mwaka 2021 nilikuwa na ndugu mkubwa tuu huko juu polisi.... Alinisisitiza kuwa ajira zikitoka nimstue na atalishughulikia!!! Baada ya ajira kutoka nikamstua akichonijibu ni kuwa nitapata tuu bila hata yeye, hakuuliza majina wala kikosi wala ninii akapita hivi.!!!
Mwanzoni mwa mwaka 2022 nikamfahamisha mtu mmoja ambaye sio ndugu wala nini shida yangu ya kutaka kujiunga huko, nae ni polisi na ni mmama... Alisikita sana nimechelewa kumwambia kwani alipewa nafasi tatu na hakuwa na mtu mwenye vigezo ilimbidi azikatae..!!
Lakini aliniambia nisife moyo zikitoka nyingine nimtafute!! Haya sasa zinetoka yeye ndio alianza kwanza kunitafuta, kuniuliza details zote na kuahidi kunishughulikia!! Hadi sasa naona mwanga!!
Huyu mtu ni mtu baki na ameniona mara moja tuu physically..na hapo ni upande wa PT.
The same thing kwa vyombo vingine...
Ndugu bwa kweli sio damu wakuu.. hawa ndugu wa damu ukitoa wazazi mara nyingibwao tuu ndio wanapenda kuwa juu!!
daahAnataka akamate mwizi wa Hitachi yao ya 1979 labda atarudi tena Peponi[emoji16][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa upoKuna shemeji yangu ni kitengo haswa time nimemaliza form four nilimwambia anifanyie connection niingie PT anazingua
Siku mmoja night akanita nikaenda nae kwa RPC nikaambiwa kuna nafasi moja ya magerza kesho yake asubuhi nijiandae nikalipoti kikosini
Nikarudi home nikamwambia sister kuhusu hiyo nafasi sister akawasha moto wa laki tatu (nadhani hata usiku hakumpa mbususu shemeji)
Asubuhi yake matokeo ya form four yakatoka nina devision one ya 9 (shemeji alikuwa anajua mm ni kilaza maana miaka hiyo hiyo anamfukuzia sister mm ndio alikuwa ananipa shilingi kumi naenda kumwita sister alafu hiyo shilingi kumi ninanunua jojo gorori kumia au pipi kidonge kumi na some time nilikuwa ninanunua pemba(udongo))
So after matokeo shemeji akakataa nisiende advance nikaenda chukua diploma after kumaliza akanipeleka home kwa fisadi mmoja ambae sasa ni marehemu(Mungu ailaze roho yake panapostahili) nikapewa connection ya TPA
so sometime ndugu zetu wanatubania sababu hawatuamini au wanatutafutia sehemu nzuri zaidi kama shemeji yangu japo mm lengo langu ni kuwa PT ili nimkamate jambazi eliyetuibia t.v. yetu ya kichogo mwaka 1979
Note
•Alitaka anifiche magereza bila cheti chochote akiamini mm ni kilaza
•After kunyimwa mbususu na kuamini nina akili akinitafutia gape zuri japo silipendi
Nipe contact yako inboxkaribu unakaribishwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]kwa msisitizo kabisa
Noma Mzee sauti inakwamakwama tu mdomoni[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] et na kigugumizi changu
Kaka watu ni nyomi,bonge la nyomi siyo la kitoto tenaI am certain boss...kama mambo yakienda kama yalivyopangwa basi kuanzia tarehe za mapinduzi pale wataita...sema walioomba ni wengi kinoma kama hauna connection kuitwa kwenye interview basi uwe umewatimizia kila walichoomba...naambiwa wengi hawajaweka leaving certificates wanawatema...
Jamaa wa ikulu huwa akiniona anajichekesha tu ananiambia nitulie mambo mazuri yanakuja nitapiga kozi huku wakufuzi wananinyenyekea (kitu ambacho sidhani)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanatajua hawajui siku wasikie mipakani kimenuka askari waage wapendwa wao muda wa kuwa kazikazi umetaradadi..Hapo kwenye talent ndio issues ilipo labda kwa mawazo yake yeye anaona ualimu ni kazi ambayo haina changamoto saana
Nakumbuka baada ya lile shambulio la askari wa JW kuuwawa DRC mtaani kwetu kuna luten kanal alikuwa kaingiza vijana wanne wa pale mtaani JKT sasa wamama wa hao watoto wakaenda kumdai Luten kanal awarudishe watoto wao [emoji23][emoji23]
Na wakawa hawamsemeshi kabisa hata mke wa luten kanal but now wote watatu wamejengewa nyumba na hao watoto wao ...likitokeaga tukio pale kwa luten wale wamama ndio wanakuwa wa kwanza kutoa msaada
Huwa wanaenda kupalilia majani na kumlimia (hivi vishamba vya mjini)
Hivyo hivyo mkuu😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wapi huko!!Safari hii hawataki felia wanawasumbua Sana kwenye kozi