Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Amin ndugu wa damu miyeyusho tu sometimes Sasa me nilikuwa nataka niingie kwenye vyombo vya usalama kuna ndugu mwingine akawa anawajaza watu wa connection et me namkatalia kuingia kwenye ualimu Sasa me na kigugumizi changu nikamfundishe mtt wa nani atanielewa pumbav zake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] et na kigugumizi changu
 
Hapo kwenye talent ndio issues ilipo labda kwa mawazo yake yeye anaona ualimu ni kazi ambayo haina changamoto saana

Nakumbuka baada ya lile shambulio la askari wa JW kuuwawa DRC mtaani kwetu kuna luten kanal alikuwa kaingiza vijana wanne wa pale mtaani JKT sasa wamama wa hao watoto wakaenda kumdai Luten kanal awarudishe watoto wao [emoji23][emoji23]

Na wakawa hawamsemeshi kabisa hata mke wa luten kanal but now wote watatu wamejengewa nyumba na hao watoto wao ...likitokeaga tukio pale kwa luten wale wamama ndio wanakuwa wa kwanza kutoa msaada


Huwa wanaenda kupalilia majani na kumlimia (hivi vishamba vya mjini)
mkuu hv TPA na PT mbona kama mbingu na ardhi. bdo siamini kama unaweza kuikacha kazi ya bandarini na kujitosa polisi ama UT. vp mzee ama mchongo wako hpo sio wa kudumu??
 
Mzee hizo kozi za Afisa kadeti huwa sio poa..nidhamu ni hali ya juu sana kuna mwana alituhadithia kipindi wapo coarse kuna jamaa alivaa kandambili za mwenzake kwenda kukoga bila ruhusa ya mwenye kanda mbili...jamaa aliechukua kandambili alifukuzwa mafunzo akihesabika yeye ni mwizi unachukuaje kitu cha mtu bila ruhusa

Hii kitu vijana inatufelisha sana uaminifu ni jambo la muhimu sana jamani asa jamaa kuchukulia kila kitu mazoea ona kafukuzwa.

Kuna uzi mpyampya wa Analyse amezungumzia kitu kama hiki mtu kachukulia kawaida kabeba peni sio yake akafelishwa kwenye kazi.

Wakuu yoyote ataebahatika kuingia chomboni mazoea tuache ni bora uombe kuliko kuchukua kinyamela ndo maana kuna kuwa na ukaguzi mkiwasili.
 
Kabla ya ajira za upolisi mwaka 2021 nilikuwa na ndugu mkubwa tuu huko juu polisi.... Alinisisitiza kuwa ajira zikitoka nimstue na atalishughulikia!!! Baada ya ajira kutoka nikamstua akichonijibu ni kuwa nitapata tuu bila hata yeye, hakuuliza majina wala kikosi wala ninii akapita hivi.!!!

Mwanzoni mwa mwaka 2022 nikamfahamisha mtu mmoja ambaye sio ndugu wala nini shida yangu ya kutaka kujiunga huko, nae ni polisi na ni mmama... Alisikita sana nimechelewa kumwambia kwani alipewa nafasi tatu na hakuwa na mtu mwenye vigezo ilimbidi azikatae..!!
Lakini aliniambia nisife moyo zikitoka nyingine nimtafute!! Haya sasa zinetoka yeye ndio alianza kwanza kunitafuta, kuniuliza details zote na kuahidi kunishughulikia!! Hadi sasa naona mwanga!!

Huyu mtu ni mtu baki na ameniona mara moja tuu physically..na hapo ni upande wa PT.

The same thing kwa vyombo vingine...

Ndugu bwa kweli sio damu wakuu.. hawa ndugu wa damu ukitoa wazazi mara nyingibwao tuu ndio wanapenda kuwa juu!!

Kweli kabisa mkuu, yaani sijui wabongo tunaishije aisee!!

Nina broo wangu (mtoto wa kakaake mama) apo kitengo kule TMA, sasa jombaa kila uchwao ananipiga fiksi leo hili kesho lile sometimes nikimtafuta anakausha hajibu kitu damn!!
Nikaona sio kesi kila mtu apambane na kitu yake[emoji706]

Wazazi wako pekee ndiyo wanaeza kukupigania kivyovyote ili ufanikiwe na sio hawa ndugu eti damu shiiit[emoji57]

Na watu usiohata na ukoo nao ndiyo wanaeza pia kukupush sana kuliko hao ndugu pia.
 
Kuna shemeji yangu ni kitengo haswa time nimemaliza form four nilimwambia anifanyie connection niingie PT anazingua

Siku mmoja night akanita nikaenda nae kwa RPC nikaambiwa kuna nafasi moja ya magerza kesho yake asubuhi nijiandae nikalipoti kikosini

Nikarudi home nikamwambia sister kuhusu hiyo nafasi sister akawasha moto wa laki tatu (nadhani hata usiku hakumpa mbususu shemeji)

Asubuhi yake matokeo ya form four yakatoka nina devision one ya 9 (shemeji alikuwa anajua mm ni kilaza maana miaka hiyo hiyo anamfukuzia sister mm ndio alikuwa ananipa shilingi kumi naenda kumwita sister alafu hiyo shilingi kumi ninanunua jojo gorori kumia au pipi kidonge kumi na some time nilikuwa ninanunua pemba(udongo))

So after matokeo shemeji akakataa nisiende advance nikaenda chukua diploma after kumaliza akanipeleka home kwa fisadi mmoja ambae sasa ni marehemu(Mungu ailaze roho yake panapostahili) nikapewa connection ya TPA

so sometime ndugu zetu wanatubania sababu hawatuamini au wanatutafutia sehemu nzuri zaidi kama shemeji yangu japo mm lengo langu ni kuwa PT ili nimkamate jambazi eliyetuibia t.v. yetu ya kichogo mwaka 1979

Note
•Alitaka anifiche magereza bila cheti chochote akiamini mm ni kilaza
•After kunyimwa mbususu na kuamini nina akili akinitafutia gape zuri japo silipendi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa upo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] et na kigugumizi changu
Noma Mzee sauti inakwamakwama tu mdomoni[emoji28]
 
I am certain boss...kama mambo yakienda kama yalivyopangwa basi kuanzia tarehe za mapinduzi pale wataita...sema walioomba ni wengi kinoma kama hauna connection kuitwa kwenye interview basi uwe umewatimizia kila walichoomba...naambiwa wengi hawajaweka leaving certificates wanawatema...
Kaka watu ni nyomi,bonge la nyomi siyo la kitoto tena
 
Kuna mwamba mmoja nilisoma nae kuanzia kidato cha pili
Huyu mwamba alikuwa anaitwa Dickson(jina lake la pili na la tatu lilikuwa ni jina la mjeshi aliyekuwa na cheo cha captain kipindi cha vita ya kagera alikuwa ni rubani wa Mig-21)

Huyo jamaa now ni mjeda ila kwasasa yupo nchi za nje anakula kozi ya ukomando (huyu mwamba ni komando by nature)

Kulingana na jina lake shule walimu walikuwa wanamuogopa saana (kiufupi jamaa aliishi kwa raha ilifikia hatua mwamba anafua siku ya sabato na hafukuzwi shule kisa kuhofia jina la baba yake)

Baada ya kumaliza shule kidato cha nne kipindi natafuta nafasi ya PT alafu naona shemeji ananizingua nikakumbuka kuwa nilisoma na mtoto wa mkubwa na alikuwa ni rafiki yangu saana

Nikampigia simu mwamba kumwambia nia yangu akacheka saana akaniambia

"Bachelor mimi ni mtoto wa fundi seremala na mama yangu ni mvunja kokoto sina connection yotote na pale nilivyokuja shuleni kwenu nilikuwa nimekuja kurudia shule baada ya kufeli form four hilo jina la huyo mkubwa nilijipa baada ya kuwa nimeshakaa saana mtaani na kugundua kitaa kinataka nini na mimi kujua nataka nimi so kwa kuwa nilikuwa nataka jeshi ndio nikaja na hiyo mbinu ya kutumia jina ls mkubwa"


●Jamaa kweli kutumia lile jina kumemsaidia saana kuanzia shule mpaka kupenya JW (msishangae kuona miaka ya mbele kuna komando mwenye ubini wa CDF mstaafu)
●mwamba ni genius haswa baada ya kuona hana connection akatumia mbinu za kimedani
 
Hapo kwenye talent ndio issues ilipo labda kwa mawazo yake yeye anaona ualimu ni kazi ambayo haina changamoto saana

Nakumbuka baada ya lile shambulio la askari wa JW kuuwawa DRC mtaani kwetu kuna luten kanal alikuwa kaingiza vijana wanne wa pale mtaani JKT sasa wamama wa hao watoto wakaenda kumdai Luten kanal awarudishe watoto wao [emoji23][emoji23]

Na wakawa hawamsemeshi kabisa hata mke wa luten kanal but now wote watatu wamejengewa nyumba na hao watoto wao ...likitokeaga tukio pale kwa luten wale wamama ndio wanakuwa wa kwanza kutoa msaada


Huwa wanaenda kupalilia majani na kumlimia (hivi vishamba vya mjini)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanatajua hawajui siku wasikie mipakani kimenuka askari waage wapendwa wao muda wa kuwa kazikazi umetaradadi..

Juu uko nimesoma kuna washkaji nao walipenda PT wakasikia tukio la Hamza na PT darajani salender wakataka ghairi[emoji28][emoji28][emoji28]

Hizi kazi tunazipenda Lakin ikifikia hatua ya Ukraine na Russia tutafarakana"speaking of Ndege Tai
 
Back
Top Bottom