methodinho
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 489
- 549
Nakubali sana mkuuKaka siwezi kukusahau
Kuna tabia moja ya kupenda kuwakadiria watu wengine. Kwamba tunafanya jambo, alaf tunapiga hesabu kuwa Mhusika hawezi kukasirika, au hatomind.Hii kitu vijana inatufelisha sana uaminifu ni jambo la muhimu sana jamani asa jamaa kuchukulia kila kitu mazoea ona kafukuzwa.
Kuna uzi mpyampya wa Analyse amezungumzia kitu kama hiki mtu kachukulia kawaida kabeba peni sio yake akafelishwa kwenye kazi.
Wakuu yoyote ataebahatika kuingia chomboni mazoea tuache ni bora uombe kuliko kuchukua kinyamela ndo maana kuna kuwa na ukaguzi mkiwasili.
Wanasema waliitaja kwenye tangazo pamoja na Medical certificateTUMEKWISHAA🙌🙌🙌😢😳😳😳 Leaving????
Leaving certificate [emoji3064][emoji3064]I am certain boss...kama mambo yakienda kama yalivyopangwa basi kuanzia tarehe za mapinduzi pale wataita...sema walioomba ni wengi kinoma kama hauna connection kuitwa kwenye interview basi uwe umewatimizia kila walichoomba...naambiwa wengi hawajaweka leaving certificates wanawatema...
Pdf ya interview wamekuambia wanatoa lini?Za ndani interview ya UT ni 24 jan
Unajua pale kwenye vigezo wakisema ''mtu awe na afya njema ya kimwili na kiakili iliyothibitishwa na daktari'' kwaio io medical ilikuwa muhim Kwan itaonesha uko sawa kwaio ilikua lazima kabisaWanasema waliitaja kwenye tangazo pamoja na Medical certificate
PTWapi huko!!
Yeah kuna baadhi ya mikoa wamechukua div one two na Three div four wameachwaHii ni lonja?
Narudia hili swala medical report haikuitajika kuambatanishwa kwenyw documents za kutuma, ila leaving certificates zilihitajika maana ilikuwa ni requirement zao.Unajua pale kwenye vigezo wakisema ''mtu awe na afya njema ya kimwili na kiakili iliyothibitishwa na daktari'' kwaio io medical ilikuwa muhim Kwan itaonesha uko sawa kwaio ilikua lazima kabisa
Alaf kuhusu leaving certificates watu wengi hawana kabisa Kama nacho kilikua kigezo na kwl kilikuwepo kwenye vitu vya kuambatanisha Basi tutakatwa wengi.
Hii issue ya LIVING hii inasepa na kijiji bora hiyo medical form kidogo baadhi walikumbuka.Unajua pale kwenye vigezo wakisema ''mtu awe na afya njema ya kimwili na kiakili iliyothibitishwa na daktari'' kwaio io medical ilikuwa muhim Kwan itaonesha uko sawa kwaio ilikua lazima kabisa
Alaf kuhusu leaving certificates watu wengi hawana kabisa Kama nacho kilikua kigezo na kwl kilikuwepo kwenye vitu vya kuambatanisha Basi tutakatwa wengi.
UT waliiweka? Maana sikumbuki TangazoUnajua pale kwenye vigezo wakisema ''mtu awe na afya njema ya kimwili na kiakili iliyothibitishwa na daktari'' kwaio io medical ilikuwa muhim Kwan itaonesha uko sawa kwaio ilikua lazima kabisa
Alaf kuhusu leaving certificates watu wengi hawana kabisa Kama nacho kilikua kigezo na kwl kilikuwepo kwenye vitu vya kuambatanisha Basi tutakatwa wengi.
Usiseme watu wengi hawana hiyo leaving certificate, hehehehe watu kibao wanazo hizo leaving mbna me nishafanya saili nyingi nyingi unakuta watu wanaleaving hadi za primary kaka we yaache tuombe tu munguUnajua pale kwenye vigezo wakisema ''mtu awe na afya njema ya kimwili na kiakili iliyothibitishwa na daktari'' kwaio io medical ilikuwa muhim Kwan itaonesha uko sawa kwaio ilikua lazima kabisa
Alaf kuhusu leaving certificates watu wengi hawana kabisa Kama nacho kilikua kigezo na kwl kilikuwepo kwenye vitu vya kuambatanisha Basi tutakatwa wengi.
Suala la medical report ndio litakuwa wanaonea watu apo,bora leaving walispecify kabisa iwepo ila medical report asee wanangu sana itakuwa so fearNarudia hili swala medical report haikuitajika kuambatanishwa kwenyw documents za kutuma, ila leaving certificates zilihitajika maana ilikuwa ni requirement zao.
mkuu tuombe MUNGU tu ila medical and leaving certificates ilihitajika kwenye tangazoIli kupunguza watu watatumia kisingizio cha leaving certificates na hizo medical reports zote lakini kiuhalisia medical report haikuwa requirement yao.
Kwa wale wenye watu wao wa jikoni hapa hawana wasiwasi kabsa wamepita wawe navyo au wasiwe navyo k
Haya Mambo yanataka connection,bila kuwa baba kantuma tunabet ngumu kumezaHii issue ya LIVING hii inasepa na kijiji bora hiyo medical form kidogo baadhi walikumbuka.