Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hii kitu vijana inatufelisha sana uaminifu ni jambo la muhimu sana jamani asa jamaa kuchukulia kila kitu mazoea ona kafukuzwa.

Kuna uzi mpyampya wa Analyse amezungumzia kitu kama hiki mtu kachukulia kawaida kabeba peni sio yake akafelishwa kwenye kazi.

Wakuu yoyote ataebahatika kuingia chomboni mazoea tuache ni bora uombe kuliko kuchukua kinyamela ndo maana kuna kuwa na ukaguzi mkiwasili.
Kuna tabia moja ya kupenda kuwakadiria watu wengine. Kwamba tunafanya jambo, alaf tunapiga hesabu kuwa Mhusika hawezi kukasirika, au hatomind.

Mtu chake mazee. Kabla ya kugusa kisichokuhusu, omba kwanza ruhusa, hata kama muhusika ni mpole na muelewa.
 
I am certain boss...kama mambo yakienda kama yalivyopangwa basi kuanzia tarehe za mapinduzi pale wataita...sema walioomba ni wengi kinoma kama hauna connection kuitwa kwenye interview basi uwe umewatimizia kila walichoomba...naambiwa wengi hawajaweka leaving certificates wanawatema...
Leaving certificate [emoji3064][emoji3064]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasema waliitaja kwenye tangazo pamoja na Medical certificate
Unajua pale kwenye vigezo wakisema ''mtu awe na afya njema ya kimwili na kiakili iliyothibitishwa na daktari'' kwaio io medical ilikuwa muhim Kwan itaonesha uko sawa kwaio ilikua lazima kabisa
Alaf kuhusu leaving certificates watu wengi hawana kabisa Kama nacho kilikua kigezo na kwl kilikuwepo kwenye vitu vya kuambatanisha Basi tutakatwa wengi.
 
Unajua pale kwenye vigezo wakisema ''mtu awe na afya njema ya kimwili na kiakili iliyothibitishwa na daktari'' kwaio io medical ilikuwa muhim Kwan itaonesha uko sawa kwaio ilikua lazima kabisa
Alaf kuhusu leaving certificates watu wengi hawana kabisa Kama nacho kilikua kigezo na kwl kilikuwepo kwenye vitu vya kuambatanisha Basi tutakatwa wengi.
Narudia hili swala medical report haikuitajika kuambatanishwa kwenyw documents za kutuma, ila leaving certificates zilihitajika maana ilikuwa ni requirement zao.
 
Unajua pale kwenye vigezo wakisema ''mtu awe na afya njema ya kimwili na kiakili iliyothibitishwa na daktari'' kwaio io medical ilikuwa muhim Kwan itaonesha uko sawa kwaio ilikua lazima kabisa
Alaf kuhusu leaving certificates watu wengi hawana kabisa Kama nacho kilikua kigezo na kwl kilikuwepo kwenye vitu vya kuambatanisha Basi tutakatwa wengi.
Hii issue ya LIVING hii inasepa na kijiji bora hiyo medical form kidogo baadhi walikumbuka.
 
Unajua pale kwenye vigezo wakisema ''mtu awe na afya njema ya kimwili na kiakili iliyothibitishwa na daktari'' kwaio io medical ilikuwa muhim Kwan itaonesha uko sawa kwaio ilikua lazima kabisa
Alaf kuhusu leaving certificates watu wengi hawana kabisa Kama nacho kilikua kigezo na kwl kilikuwepo kwenye vitu vya kuambatanisha Basi tutakatwa wengi.
UT waliiweka? Maana sikumbuki Tangazo
 
Unajua pale kwenye vigezo wakisema ''mtu awe na afya njema ya kimwili na kiakili iliyothibitishwa na daktari'' kwaio io medical ilikuwa muhim Kwan itaonesha uko sawa kwaio ilikua lazima kabisa
Alaf kuhusu leaving certificates watu wengi hawana kabisa Kama nacho kilikua kigezo na kwl kilikuwepo kwenye vitu vya kuambatanisha Basi tutakatwa wengi.
Usiseme watu wengi hawana hiyo leaving certificate, hehehehe watu kibao wanazo hizo leaving mbna me nishafanya saili nyingi nyingi unakuta watu wanaleaving hadi za primary kaka we yaache tuombe tu mungu
 
Narudia hili swala medical report haikuitajika kuambatanishwa kwenyw documents za kutuma, ila leaving certificates zilihitajika maana ilikuwa ni requirement zao.
Suala la medical report ndio litakuwa wanaonea watu apo,bora leaving walispecify kabisa iwepo ila medical report asee wanangu sana itakuwa so fear
 
Ili kupunguza watu watatumia kisingizio cha leaving certificates na hizo medical reports zote lakini kiuhalisia medical report haikuwa requirement yao.

Kwa wale wenye watu wao wa jikoni hapa hawana wasiwasi kabsa wamepita wawe navyo au wasiwe navyo k
mkuu tuombe MUNGU tu ila medical and leaving certificates ilihitajika kwenye tangazo
 
Back
Top Bottom