Kweli mkuu,kuna mtu humu alinipa akili bora iwepo lkn kuliko kutowepo,bora usali kuliko kutosali alafu ukakutana na mungu yupo kwelimkuu tuombe MUNGU tu ila medical and leaving certificates ilihitajika kwenye tangazo
yaah afsaKweli mkuu,kuna mtu humu alinipa akili bora iwepo lkn kuliko kutowepo,bora usali kuliko kutosali alafu ukakutana na mungu yupo kweli
Labda wakiwa na nguo za kiraiaWanapanda mbna kipind nipo site upanga tushapanda nao Sana kwenye kosta
mkuu unafikiri nikwanini hukutoboa usahili wa UT uliopita?
Hapana ,medical certificate haikuwa kwenye viambatanisho ,hivyo sio necessary ,fuateni tangazo lilitaka nini , kwemye section ya viambatanisho means documents walizohitaji .mkuu tuombe MUNGU tu ila medical and leaving certificates ilihitajika kwenye tangazo
nashukuru kwa maoni yako mkuuHapana ,medical certificate haikuwa kwenye viambatanisho ,hivyo sio necessary ,fuateni tangazo lilitaka nini , kwemye section ya viambatanisho means documents walizohitaji .
Kama watakata watu kwa hiyo medical certificate itakuwa unfair , haikuwepo kwenye viambatanisho vya maombi .nashukuru kwa maoni yako mkuu
Niliattach tu Transcript tu ya chuo.. Mana cheti kilikua hakitajatoka that time!!.. Kwahyo nahisi hii ndo sababu, au labda ndo hivo sina mibuyu labda.... Au sijui time yangu haikuwa bado?? I don't know,,, niliwazaga vitu vingi sana aicee!!!mkuu unafikiri nikwanini hukutoboa usahili wa UT uliopita?
Unaongelea UT au PT? Au kote ?Hapana ,medical certificate haikuwa kwenye viambatanisho ,hivyo sio necessary ,fuateni tangazo lilitaka nini , kwemye section ya viambatanisho means documents walizohitaji .
yaah, hta humu tulibishana sana kuwa utawa pruvu vipi kuwa una afya njema tena uthibitishwe kutoka kwa dokta wa serikali? wapo walio weka na mimi nikiwemo kote UT&PT.Kama watakata watu kwa hiyo medical certificate itakuwa unfair , haikuwepo kwenye viambatanisho vya maombi .
this time is your timeNiliattach tu Transcript tu ya chuo.. Mana cheti kilikua hakitajatoka that time!!.. Kwahyo nahisi hii ndo sababu, au labda ndo hivo sina mibuyu labda.... Au sijui time yangu haikuwa bado?? I don't know,,, niliwazaga vitu vingi sana aicee!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushapigwa peresuperesu weweHapana ,medical certificate haikuwa kwenye viambatanisho ,hivyo sio necessary ,fuateni tangazo lilitaka nini , kwemye section ya viambatanisho means documents walizohitaji .
Nakumbuka tuliongea hili ni vyema kuattachyaah, hta humu tulibishana sana kuwa utawa pruvu vipi kuwa una afya njema tena uthibitishwe kutoka kwa dokta wa serikali? wapo walio weka na mimi nikiwemo kote UT&PT.
Uzi wako ule natembea nao kichwani kaka.Kuna tabia moja ya kupenda kuwakadiria watu wengine. Kwamba tunafanya jambo, alaf tunapiga hesabu kuwa Mhusika hawezi kukasirika, au hatomind.
Mtu chake mazee. Kabla ya kugusa kisichokuhusu, omba kwanza ruhusa, hata kama muhusika ni mpole na muelewa.
Narudia Tena '' awe na afya njema ya kimwili na kiakili iliyothibitishwa na daktari wa serikali''Hapana ,medical certificate haikuwa kwenye viambatanisho ,hivyo sio necessary ,fuateni tangazo lilitaka nini , kwemye section ya viambatanisho means documents walizohitaji .
Watakuwa wameonea watu maana kwenye viambatisho hawajaweka labda kama wanataka kupunguza kuweka watu wao Full stop!!!Narudia Tena '' awe na afya njema ya kimwili na kiakili iliyothibitishwa na daktari wa serikali''
Sasa hapo bila kithibitisho Cha daktari ambacho n medical form watajuaje?
Kwaio ilikua lazma kabisa kukiweka
yaah mkuuNakumbuka tuliongea hili ni vyema kuattach