MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Hivi kuanzia ma SP wanakunja ngapi mkuu ?Njoo PT kijana . Kwa kada yako unakunja si chini ya 2m baada ya makato. Unawapiga gap hata mainspector wenye degree zingine ila cheo ndio utasubiri.
Ila ukipata JWTZ mabegani na mpunga vinaenda pamoja.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app