BlackHermito
JF-Expert Member
- Oct 15, 2020
- 748
- 1,131
Usajili unakuwa unafanyika nadhan mpaka course Ije ifunguliwe rasmiWakuu hivi inawezekana watu kurepoti kambini mwezi mmoja kabla? Na kama ni ndio mda huo wote wanakuwa na shughuri wanafanya au wanakuwa wamekaa tu
Waziri mkuu alitoa ahadi mwaka Jana 2022 kutoka kwa Rais bajeti ya waziri wa maliasili pia alipewa kibali cha kuajiri lakini bado wako kimya mpk sasaSijaisikia hii mkuu,ebu ilete kama habari
Kozi gani?Kikubwa mbanga tu .,Kuna jamaa kapiga university na officer wale wa porin flan hivi.....karud kitaa mambo magumu .....kamchek yule officer now yule kijana after 2 week zijazo anaingia course .....na sijasikia zikitangazwa[emoji38][emoji38]
Waziri mkuu alitoa ahadi mwaka Jana 2022 kutoka kwa Rais bajeti ya waziri wa maliasili pia alipewa kibali cha kuajiri lakini bado wako kimya mpk sasa
Course mnafanya wa level zote so yeyote anaweza akapangwa huko. Mafunzo ni sawa regardless na elimu.Wakuu hiv kwa police lindo ya banki ni lazima au kwa ambao wameingia kwa kutumia Chet cha form 4 tu
Tuna morali sana na majeshi ,mungu atusimamie hii morali idumu hadi tukiwa watumishiDah ila huu uzi unafatiliwa kinoma...kuna afande mmoja kaniambia yan madogo mnavyoutaka ukamanda ningekuw mimi ningewabeba wote humo jf [emoji23]
Tuna morali sana na majeshi ,mungu atusimamie hii morali idumu hadi tukiwa watumishi
Yah Inawezekana....Za ndani kabisa, course ijayo ya PT itakuwa mwaka mzima.
Hawa jamaa Tanapa sijui kwanini hawajaajiri muda mrefu
Safi tu nipo tayari kivyovyote vile SEMA hii kozi itakuwa yakitabe sanaZa ndani kabisa, course ijayo ya PT itakuwa mwaka mzima.
Haitakuwa ngumuSafi tu nipo tayari kivyovyote vile SEMA hii kozi itakuwa yakitabe sana
Hahahah huyo mbanga si aondoke n mimi tu.Haitakuwa ngumu
Vijana mkienda mtaenjoy.Haitakuwa ngumu
Vijana mkienda mtaenjoy.
Kwann isiwe ngumuHaitakuwa ngumu
Chief hv CCP mkiwa mafunzoni huwa hampigi Guard zile siku za mwisho ...Vijana mkienda mtaenjoy.
Maovyoovyo hayatakuwa mengi nahisi.Kwann isiwe ngumu
Doria na guard mnaendaChief hv CCP mkiwa mafunzoni huwa hampigi Guard zile siku za mwisho ...