Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kikubwa mbanga tu .,Kuna jamaa kapiga university na officer wale wa porin flan hivi.....karud kitaa mambo magumu .....kamchek yule officer now yule kijana after 2 week zijazo anaingia course .....na sijasikia zikitangazwa[emoji38][emoji38]
Kozi gani?
 
Waziri mkuu alitoa ahadi mwaka Jana 2022 kutoka kwa Rais bajeti ya waziri wa maliasili pia alipewa kibali cha kuajiri lakini bado wako kimya mpk sasa
Screenshot_20220711-140724.png
 
Wakuu hiv kwa police lindo ya banki ni lazima au kwa ambao wameingia kwa kutumia Chet cha form 4 tu
Course mnafanya wa level zote so yeyote anaweza akapangwa huko. Mafunzo ni sawa regardless na elimu.
 
Back
Top Bottom