Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

kuna RSM alikuwa mtabila anaitwa Kayange au mzee wa pwii,hiyo sura tuu haijawah kuwa na amani hata kama anafurah
Huyo kayange mbna km namjua, kna mzee mrefu hlf black kdg hlf jino moja la mbele limetoka nae Alikuw anaitwa kayange
 
Kutokea uaraiani na kwenda msata inawezekana vizuri tu tena hata hizo nafasi wakichukua makambini.

Ila inategemea nani yupo nyuma yako.

Kwa macho yangu nimemshuhudia Mwanangu akienda msata akitokea uraiani.



Sent using Jamii Forums mobile app
Yani sifa mbanga uwe full charge tu ila hii ya saivi msata panaendeka
 
Alikuwa kule IDS na mara nyingi kawa Seminar Leader wengi tumemjulia huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…