Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Jamaa anatuzingua...kwenye tovut yao hakuna pdf yoyote sijui kaiona wap
Me mwenyewe nimechungulia kwa tovuti yao nakuta habari ya mwisho ni 6/01/2023 ya ajira mpya basi sasa Sijui yeye kaiona wapi au ndo CONNECTION KUBWA unalishwa madini kabla hayajatokea.[emoji3][emoji28]
 
Me mwenyewe nimechungulia kwa tovuti yao nakuta habari ya mwisho ni 6/01/2023 ya ajira mpya basi sasa Sijui yeye kaiona wapi au ndo CONNECTION KUBWA unalishwa madini kabla hayajatokea.[emoji3][emoji28]
Inawezekana labda maana kama ana connection labda kaipata kabla hawajaimwaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…