MOSHI UFUNDI
JF-Expert Member
- Nov 25, 2022
- 526
- 1,222
Yah!! Mziki ni kutoboa pdf ya mwishoKwenye usahili huwa wanaita majina mengi hilo tusiwe na wasiwasi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah!! Mziki ni kutoboa pdf ya mwishoKwenye usahili huwa wanaita majina mengi hilo tusiwe na wasiwasi..
Uwezekano wa tarehe hizi upo kabisa kwa wale wa makao makuu.Afu mwangu tar 24/25 PT PDF
Hahaha kiongozi utatuupdateNachungulia page ya UT instagram kama kuna Pdf si mnajua tarehe ni hzi
pamoja mkuuHahaha kiongozi utatuupdate
Yeah kuna mwamba nmemuuliza kaniambia hizi tarehe watu wataalumaUwezekano wa tarehe hizi upo kabisa kwa wale wa makao makuu.
Hapo ndio gumzoYah!! Mziki ni kutoboa pdf ya mwisho
Vipi zimamoto umeitwa?Yah!! Mziki ni kutoboa pdf ya mwisho
Nyumba za watu mtihan sanaHaya maisha bhana daah mzee mwenye nyumba anaongeza kodi, yaani siku mbili mbele kwa kushtukiza asee ghafla ghafla na kama hutaki hama.....muhuni nikaona niwashe sabufa nipige chenja tena kwa saut ya juu
Acha tu mkuu na sio kwamba pesa hana, anayo na kila mkoa ana nyumba, yaani sielew tu imekuwajeNyumba za watu mtihan sana
[emoji1787]Haya maisha bhana daah mzee mwenye nyumba anaongeza kodi, yaani siku mbili mbele kwa kushtukiza asee ghafla ghafla na kama hutaki hama.....muhuni nikaona niwashe sabufa nipige chenja tena kwa saut ya juu
Nimepigwa KOKijana,
Vipi zimamoto umeitwa?
Acha tu kaka mtu anakufanyia makusudi tu[emoji1787]
Punguza Moto mkuu Mambo yaki pinduka utaumiaNachungulia page ya UT instagram kama kuna Pdf si mnajua tarehe ni hzi
nimepigika sna ,nimebadili id sana sasa safari hii nawakanda,inshallah.Punguza Moto mkuu Mambo yaki pinduka utaumia