HIkawa Ikawa lonja ya kweli kwamba majina vikosini yashaapelekwaOyaaa naskia majina ya pt washayamwaga leo.
Naskia wale vijana wa nje ya jkt na wale wa fani wote usaili Dom.
Mpwapwa kule wameambiwa majina ya walio vikos yatabandikwa kesho. Na wale wa fani usaili 23.1.2022.
Ronjaa hizo
fanya mpango majina uyalete humu basiNdo Ronjaa hizo huitwa sasa
Kuna mzee mmoja aliwahi nambia maisha ni marahisi ukiwa na watu sahihiYaaani mwana ana mibanga sehemu 3, wakati mnyabi me sina hata wa mchongo, kweli maisha yanaenda kasi sana
Daaah kaka acha tuKuna mzee mmoja aliwahi nambia maisha ni marahisi ukiwa na watu sahihi
Hii kwel kbsa,me naona magumu sababu hkn wa kunishika mkono.naamin humu ndan kna w2 hawawazi kbs wao njia nyeupe to TP au UT,Kaz yao kusoma maoni ya wenzao tu bas wanatulia,haya maisha bhnKuna mzee mmoja aliwahi nambia maisha ni marahisi ukiwa na watu sahihi
Huu Ndio ukweli haswaKuna mzee mmoja aliwahi nambia maisha ni marahisi ukiwa na watu sahihi
Kuna jamaa mmoja humu huwa anasisitiza kumuomba sana Mungu na kumtegemea yeye especially kama hauna mtu wa kukushika mkono.Hii kwel kbsa,me naona magumu sababu hkn wa kunishika mkono.naamin humu ndan kna w2 hawawazi kbs wao njia nyeupe to TP au UT,Kaz yao kusoma maoni ya wenzao tu bas wanatulia,haya maisha bhn
Umetoa funzo naamin litatusaidiaKuna jamaa mmoja humu huwa anasisitiza kumuomba sana Mungu na kumtegemea yeye especially kama hauna mtu wa kukushika mkono.
Nakumbuka nilishawahi kuwa katika hali kama yako kuhitaji mtu wa kunishika mkono ili niweze kuingia sehemu. Nilisali sana, kila siku nilikuw najitahidi ninavyoenda jogging najog porini na kumuomba Mungu ombi moja kubwa kuwa "aniletee/ ainue watu wa kunishika "mkono.
Kwa imani yangu na kwa maombi yangu, Mungu alitukutanisha na mtu katika hali isiyokuwa na kawaida. Mzee yule alikuw very simple na maisha ya kawaida ila alikuw na connections za ajabu sana. Yani phone book yake akikuonesha unashangaa na kujiuliza huyu mzee kapataje hizo connections na yupo anaendesha zake uber tu.
So since then nimekuwa nikiamini katika Maombi na kumuamin Mungu. Akikupangia sehemu basi itawezekana tu. Kikubwa ni kumuamin yeye. Pia ishi na watu vizur, kuwa mdadisi. Unaweza kuta sehemu unayoishi kuna watu wapo na connections kali tu ila hujui.
Maandiko yanasema tusitegemee akili zetu na tumtumaini yeye na atanyoosha Mapito yetu.
Jumapili njema wapambanaji. Nawatakia heri.
Encouraging. God is goodKuna jamaa mmoja humu huwa anasisitiza kumuomba sana Mungu na kumtegemea yeye especially kama hauna mtu wa kukushika mkono.
Nakumbuka nilishawahi kuwa katika hali kama yako kuhitaji mtu wa kunishika mkono ili niweze kuingia sehemu. Nilisali sana, kila siku nilikuw najitahidi ninavyoenda jogging najog porini na kumuomba Mungu ombi moja kubwa kuwa "aniletee/ ainue watu wa kunishika "mkono.
Kwa imani yangu na kwa maombi yangu, Mungu alitukutanisha na mtu katika hali isiyokuwa na kawaida. Mzee yule alikuw very simple na maisha ya kawaida ila alikuw na connections za ajabu sana. Yani phone book yake akikuonesha unashangaa na kujiuliza huyu mzee kapataje hizo connections na yupo anaendesha zake uber tu.
So since then nimekuwa nikiamini katika Maombi na kumuamin Mungu. Akikupangia sehemu basi itawezekana tu. Kikubwa ni kumuamin yeye. Pia ishi na watu vizur, kuwa mdadisi. Unaweza kuta sehemu unayoishi kuna watu wapo na connections kali tu ila hujui.
Maandiko yanasema tusitegemee akili zetu na tumtumaini yeye na atanyoosha Mapito yetu.
Jumapili njema wapambanaji. Nawatakia heri.
Amiin[emoji120]Jumapili ya Leo ikawe ya baraka kwetu!! Ni maombi yangu kwa Mungu akamjibu kila mmoja na kumpa iliyo haki yake!!
Hii mzur sn kakaKuna jamaa mmoja humu huwa anasisitiza kumuomba sana Mungu na kumtegemea yeye especially kama hauna mtu wa kukushika mkono.
Nakumbuka nilishawahi kuwa katika hali kama yako kuhitaji mtu wa kunishika mkono ili niweze kuingia sehemu. Nilisali sana, kila siku nilikuw najitahidi ninavyoenda jogging najog porini na kumuomba Mungu ombi moja kubwa kuwa "aniletee/ ainue watu wa kunishika "mkono.
Kwa imani yangu na kwa maombi yangu, Mungu alitukutanisha na mtu katika hali isiyokuwa na kawaida. Mzee yule alikuw very simple na maisha ya kawaida ila alikuw na connections za ajabu sana. Yani phone book yake akikuonesha unashangaa na kujiuliza huyu mzee kapataje hizo connections na yupo anaendesha zake uber tu.
So since then nimekuwa nikiamini katika Maombi na kumuamin Mungu. Akikupangia sehemu basi itawezekana tu. Kikubwa ni kumuamin yeye. Pia ishi na watu vizur, kuwa mdadisi. Unaweza kuta sehemu unayoishi kuna watu wapo na connections kali tu ila hujui.
Maandiko yanasema tusitegemee akili zetu na tumtumaini yeye na atanyoosha Mapito yetu.
Jumapili njema wapambanaji. Nawatakia heri.
Shukrani mkuuLeaving certificate Hainaga kazi.
Kinatakiwa cheti cha taaluma.