chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
Wala cjaomba nmekujbu kutokana na figure ulonpa ,ukiangalia hyo fga na idadi ya watu ni sawa na kusema wote walioitwa wanaoamba ajiraHahahahah
Kama umeomba pambana upate huu sio wakati wa kumuangalia nani atapata pamoja nami, mkishakuwa pamoja kambini ninyi ni wamoja.
kama hukuomba USISUMBUKE NA IDADI..Wala cjaomba nmekujbu kutokana na figure ulonpa ,ukiangalia hyo fga na idadi ya watu ni sawa na kusema wote walioitwa wanaoamba ajira
kama hukuomba USISUMBUKE NA IDADI..Wala cjaomba nmekujbu kutokana na figure ulonpa ,ukiangalia hyo fga na idadi ya watu ni sawa na kusema wote walioitwa wanaoamba ajira
Ile figa ya 1725 uliweka ya nn ?kama hukuomba USISUMBUKE NA IDADI..
Wazalendo leteni update za huko
Niliweka nikidhani wewe ni mmoja wa vijana walioomba.Ile figa ya 1725 uliweka ya nn ?
Magereza wametoa nafasi
Unauliza swali au unatoa taarifaMagereza wametoa nafasi
NAKAZIA.Mliofanya leo usaili mtupe mrejesho wa huko
Kwa degree kesho usaili wa written na oralMliofanya leo usaili mtupe mrejesho wa huko