Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hahahahah

Kama umeomba pambana upate huu sio wakati wa kumuangalia nani atapata pamoja nami, mkishakuwa pamoja kambini ninyi ni wamoja.
Wala cjaomba nmekujbu kutokana na figure ulonpa ,ukiangalia hyo fga na idadi ya watu ni sawa na kusema wote walioitwa wanaoamba ajira
 
Vijana mlioomba huu ni wakati wa..
1.Kuwa makini.. Rushwa ndo inatembea Sana kipindi hiki, UNAWEZA UKATAPELIWA.

2.Sio kila taarifa/swali ni la msingi.. KUNA WATU WANATAMANI KUWATOA NJE YA RELI (Wengine wapo JF wengine mtaani kwako)

3.MTANGULIZE MUNGU.. Atakuvusha.
 
Ile figa ya 1725 uliweka ya nn ?
Niliweka nikidhani wewe ni mmoja wa vijana walioomba.

Uliponifahamisha wewe si mmoja wao nimekuambia hivi.. KAMA HUKUOMBA USISUMBUKE NA IDADI?

Kwanini unataka kufahamu idadi na wewe si muombaji?
 
Vijana mlioomba huu ni wakati wa..
1.Kuwa makini.. Rushwa ndo inatembea Sana kipindi hiki, UNAWEZA UKATAPELIWA.

2.Sio kila taarifa/swali ni la msingi.. KUNA WATU WANATAMANI KUWATOA NJE YA RELI (Wengine wapo JF wengine mtaani kwako)

3.MTANGULIZE MUNGU.. Atakuvusha

Mmeshatia Nia makamanda msirudi nyuma, USIPOSIMAMA WEWE KUMLINDA MAMA YANGU MIMI KULE SONGEA, UNATAKA NANI AMLINDE MAMA YAKO KULE MOSHI..??

Awiiiih...
 
Hongeren mliopita najua astashahada na cheti kesho ndio mna anaza mchakato
 
kule CCP vijana watafuliwa haswa watasahau kama waliwai kua askari kabla.wakitoka huko watakua na mindset kama ya wenzao
 
IMG_7226.jpg

IMG_7227.jpg

IMG_7228.jpg

IMG_7229.jpg

IMG_7230.png

IMG_7231.jpg
 
Vijana nawasihii, Ombeni hizo nafasi usiangalie idadi.. wewe omba.

Usitake kujua idadi, wewe ombaaa
 
Back
Top Bottom