Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kwakweli aisee hizi ajira za majeshi zimesaidia sana kwa kiasi kikubwa mnoo kwa kupunguza idadi ya hawa wataalamu kwa kuwachukua


Ila mtaani hali ni mbaya
 
TANGAZO LA USAILI

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini anapenda kuwatangazia kuwa vijana walioomba kuajiriwa na Jeshi la Polisi usaili wao utafanyika kuanzia tarehe 23/01/2023 hadi tarehe 03/02/2023
nchini kote.

Kwani hiyo tarehe ni lini?
 
Hongereni mlioitwa kwa usaili. Ni hatua ya mwanzo kuelekea kupata kazi. Kufanya kwako vizur usaili + kutafuta connection hapo hapo siku husika kutakuweka kwenye nafasi njema. Sio unamaliza usaili unaenda nyumban..kaa kidogo , usaili uishe, jipendekeze kidogo kwa maafande hapo...kuwa mjanja ila mumtangulize Mungu pia.

Waliokosa kuitwa kwenye usaili msikate tamaa Mungu aendelee kuwatangulia kwenye mapambano mengine. Wenye vigezo msiache kuomba na MT kama mnapenda kuwa kwenye system za haya majeshi.
 
Kaanza na fire kesho kila kitu kipo on
Usaili wa JW tayari nafasi 89%


Walioomba fire wameambiwa wachague fire au polisi [emoji23]

JW wanasubiri wengine wamalize
Wameambiwa wachague fire au pt kivipi?
 
Ahsante champ, bless up fam utoboe afsa
 
Wadau kwani majina ya usaili mikoani yanapitakana wapiii??
Au sisi ni kwenda hyo tarehe kwa makamanda vikosi moja kwa moja??

Yaani nachanganyikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…