Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Wakubwa kwa wale wa form 4 kwa mkoa wa Tanga,
Ambae anaweza ona hayo majina kama yamebandikwa fanya hata kupiga picha aunisaidie kwani mm nilifanyia maombi huko alafu nikatembea mikoani tena
 
Naomba kuuliza hizi saili za PT ilo kundi la Kwanza Usaili utafanyika tarehe 23/1-27 kwamba siku zote unaenda au kuna watakaofanya tar.23 na wengine tar.27 pia naomba kujuzwa muda wa Usaili na kingine naomba kufaham location ya kambi ya ujenzi
 
Lengo nikuona tunafanikiwa mapoti, na tufanikiwe na pdf ya ajira ikitoka mtupe mrejesho pia tushauriane tulifanikiwa wapi,tunakosea wapi
 
Wakubwa kwa wale wa form 4 kwa mkoa wa Tanga,
Ambae anaweza ona hayo majina kama yamebandikwa fanya hata kupiga picha aunisaidie kwani mm nilifanyia maombi huko alafu nikatembea mikoani tena
Watawapigia simu nadhani kama walivyofanya last year
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…