Mr. I don Care
Member
- Nov 20, 2014
- 80
- 144
Nimepigwa sugunyoo sipo pia [emoji1373]yaah wametema UT
Usijali champ,never lose hopeDuh! siyo poa aisehe have Sana mliofanikiwa kuptita kwenye chujio na kuwa shortlisted niwatakie kheri tu kwenye masahiliano ndugu zangu mimi binafsi kotekote nimeliwa kichwa aisehe si PT si UT anyway maisha yanaendelea ngoja tuendelee kupambana hakuna kukata tamaa.
Chief umepata?Usijali champ,never lose hope
Siyo rizk mkuuNimepigwa sugunyoo sipo pia [emoji1373]
Pia nimekosa mkuuChief umepata?
Tusubiri fursa zingine hii sio ridhiki tenaSiyo rizk mkuu
Kuna wanangu hawajaona majina na wameniambia wanaenda, we umeona jina alafu unajiuliza??? Be seriousHabari za muda wana jamvi. Me nimepata bahati ya kuona jina kwenye pdf ila changamoto ni kwamb f namba yangu kapewa mtu aliopojuu yangu na me ni bachelor ila wameniandikia diploma. Hii imekaaje niende usail ama nikaushe.msaada plz
😂😂😂We si ndo ulisema nyota mbili ya Polisi ana mpigia saluti nyota Moja ya Jeshini. We si ulikua una kaza na fuvu kabisa. Kuna vitu vingine unafaham na vingine unajichoresha tuMkuu mimi naandika vitu ambavyo nina uhakika navyo, ukiona nimekubishia kitu ujue nina uhakika nacho, kama kitu sikijui nakaa kimya tu
Ndugu una vituko, nani kakwambia unajua vingi?Ni dhambi kujua vitu vingi mkuu siyo
Kama zipo, kupata uhakika. Kuna alishafanya hivyo na alifanikiwaHizo hela za kuchezea zinatoka wapi mkuu
Mbona tarehe Zina kinzana sasa na usahili wa Polisi?? Manake Kuna wengine wameitwa kotehii hapa
Upelekwe kituoni unaleta usumbufu kwenye usahiliKama unaweza kupata nauli na pesa ya kujikimu nashauri nenda kwenye usaili hata kama hujaitwa.
Huwezi, labda uwe mjingaUpelekwe kituoni unaleta usumbufu kwenye usahili
Dah unatupa moyo ase cjui tuende tu hata hatupo kwenye listKama unaweza kupata nauli na pesa ya kujikimu nashauri nenda kwenye usaili hata kama hujaitwa.
mkuu acha kunifurahishaUpo na maelekezo mazito endelea kuishi humo