Mr. I don Care
Member
- Nov 20, 2014
- 80
- 144
Duh! siyo poa aisehe have Sana mliofanikiwa kuptita kwenye chujio na kuwa shortlisted niwatakie kheri tu kwenye masahiliano ndugu zangu mimi binafsi kotekote nimeliwa kichwa aisehe si PT si UT anyway maisha yanaendelea ngoja tuendelee kupambana hakuna kukata tamaa.