Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
Masailiano yana kwata zake ( Utaratibu maalum)Hapo unachukuaje vyeti sasa??[emoji23][emoji23]
Safi mkuu nondo za kuishi nazo hizo mapotNA UJIAMINI VIJANA MUACHE MTERUUU,
Kozi yako ipo hapo?Ngoja niombe na hizi za PCCB [emoji16]
Bado ujapata kazi tuu???Ngoja niombe na hizi za PCCB [emoji16]
Daaah we jamaa mungu akusimamie man hukati tamaa kabisa toka mwaka janaa hadi leo duuhhIvi wa form four wanabandika majina au
Lawama za kijinga hiziMfwende inavoonesha ulikuwa na mbaga, hata kuwapa wenzako lonja hukutaka, ukawa unawachora tu. Hata mshikaji wako X monster hukumpa connection.
Soma pdf mzee utume maombiHizo za PCCB zimekaaje machief
Hapa kwenye kuvua nguo Yani unamaanisha zote ?Kuhusu issue ya vipimo:
Mkienda siku ya usaili mtafanyiwa vipimo vya awali tuu kama urefu na uzito,na kuvua nguo kutizama kama kuna any abnormalities mwilini au kama una tattoos pamoja na mishono...
Wakienda sana kama mda utakuepo kulingana na idadi ya watu basi mtapima na ukimwi.
Lakini mnapofika depo sasa vipimo mtapimwa upya vyooootee hadi hepatitis tena kwa umakini wa hali ya juu na vyetimtakaguliwa upyaa.....ndio pale unaskiaga ccp wamerudi watu sjui wamefukuzwa nipamoja na vipimo na vyeti...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]unabaki kama ulivo zaliwa wakwetu...Hapa kwenye kuvua nguo Yani unamaanisha zote ?
Asante kwa ufafanuzi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]unabaki kama ulivo zaliwa wakwetu...