mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
Thank u champNawatakia kila la kheri wote wapambanaji wenzangu, PDF ikitoka naimani wengi mtawemo kwenda kozi ya ajira akiwemo mfwende
Thank u fam, GOD with us.Mkuu unayopitia wewe me pia napitia life gumu pia suala la mahusiano nalo changamoto mpenz adi dk hii sijamwambia kma nimekula ndoige maana anahuruma sana anaweza toa machozi mana maisha yangu yanamgusa moja kwa moja yeye kutwa aniombea mungu .ila tutafika salama hii Safari ya mafaniko,nakutakia kila la kheri champion,utaondoka safari hii
[emoji2][emoji2]ahaa kaka kwamba wimbo wa Taifa umekupiga chenga au me sijaelewa!!multiple choice, na wimbo wa taifa sijauandika kma ulivo mkuu
Mkuu kwanini usiachane na mambo ya mapenzi kwanza usijeumia baadae ukipigwa tukio na uyo manziMkuu unayopitia wewe me pia napitia life gumu pia suala la mahusiano nalo changamoto mpenz adi dk hii sijamwambia kma nimekula ndoige maana anahuruma sana anaweza toa machozi mana maisha yangu yanamgusa moja kwa moja yeye kutwa aniombea mungu .ila tutafika salama hii Safari ya mafaniko,nakutakia kila la kheri champion,utaondoka safari hii
ndio mkuu sijauandika logically[emoji2][emoji2]ahaa kaka kwamba wimbo wa Taifa umekupiga chenga au me sijaelewa!!
mkuu mahusiano ni maisha,ni vipi rijali unaweza jitenga mbali na mahusiano?Mkuu kwanini usiachane na mambo ya mapenzi kwanza usijeumia baadae ukipigwa tukio na uyo manzi
Sio kujitenga mazima nachomaanisha unakuwa unatafuta utelezi tu ukiwa high lakini sio kujiwekeza mazima kwa mtoto wa mtu wakati unajua pesa muhim kwenye mahusiano.mkuu mahusiano ni maisha,ni vipi rijali unaweza jitenga mbali na mahusiano?
Pamoja mkuuSio kujitenga mazima nachomaanisha unakuwa unatafuta utelezi tu ukiwa high lakini sio kujiwekeza mazima kwa mtoto wa mtu wakati unajua pesa muhim kwenye mahusiano.
Usipokuwa makini utachapiwa uje umtafute mchawi nani ila ni ushauri tu bro..
Wakuu kuna mtu anaelewa usaili polisi arusha mambo yanendaje maan naskia hawajafanya adi leoPamoja mkuu
All the best broNasubir Last Pdf
Upo sahihi kabisa kakaNdugu zangu, ni wazi kuwa hali ni ngumu sana hasa kupata kazi. Ukiangalia kwa makini utagundua kila mwaka vyuo vinatoa maelfu ya graduates wa level tofauti. Ajira zinazotoka ni chache ukilinganisha na idadi inayotafuta ajira.
Ningependa tushauriane njia mbadala za kutoka kimaisha bila kutegemea hizi kazi. Binafsi naona njia nyingine yakujaribu ni kuomba scholarship nchi zilizoendelea. Ukiwa kule utasoma, utafanya kazi na kutengeneza network ya watu mbali mbali. Target yako iwe network sana maana baada ya kusoma hiyo network itakusaidia sana.
Mwisho kabisa, mimi nimeanza michakato ya kuapply, nitaapply vyuo zaidi ya kumi ili niwe kwenye nafasi nzuri ya kushinda. ASANTENI
Ukipata Full Funded inapendeza zaidi.Ndugu zangu, ni wazi kuwa hali ni ngumu sana hasa kupata kazi. Ukiangalia kwa makini utagundua kila mwaka vyuo vinatoa maelfu ya graduates wa level tofauti. Ajira zinazotoka ni chache ukilinganisha na idadi inayotafuta ajira.
Ningependa tushauriane njia mbadala za kutoka kimaisha bila kutegemea hizi kazi. Binafsi naona njia nyingine yakujaribu ni kuomba scholarship nchi zilizoendelea. Ukiwa kule utasoma, utafanya kazi na kutengeneza network ya watu mbali mbali. Target yako iwe network sana maana baada ya kusoma hiyo network itakusaidia sana.
Mwisho kabisa, mimi nimeanza michakato ya kuapply, nitaapply vyuo zaidi ya kumi ili niwe kwenye nafasi nzuri ya kushinda. ASANTENI
Hii njia watu wengi wanatoboa, maana utasoma huku unapiga kazi. Kwa week nchi nyingi zinatoa masaa 20 ya kufanya kazi. Hivyo kwa mwezi ni masaa 80. Ukizidisha kwa dola 8 (kima cha chini kabisa japo unaweza pata zaidi) kama malipo ya kazi kwa saa, utakuwa na 640USD. wakati huo umepata full funded scholarship. Utagharmiwa kila kitu mpaka nauli.Upo sahihi kabisa kaka
Ukiwa unaapply unatafuta full funded tu. Partial huwa ni rahis sana kupata, sijui kwanini tu. Mimi nimeshaomba baadhi ya nchi, bado naendelea.Ukipata Full Funded inapendeza zaidi.
Si walisema watapiga simuWakuu kuna mtu anaelewa usaili polisi arusha mambo yanendaje maan naskia hawajafanya adi leo
Mikoa karibu yote tayariSi walisema watapiga simu
Dah πππ sio poa aseenisipo pata kazi mwaka huu
demu wangu atanielewa kweli wazee? hii ishu najua inatutesa sana vijana wengi. maisha ya kihomu haya jaseto, mahusiano ndio