Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hii njia watu wengi wanatoboa, maana utasoma huku unapiga kazi. Kwa week nchi nyingi zinatoa masaa 20 ya kufanya kazi. Hivyo kwa mwezi ni masaa 80. Ukizidisha kwa dola 8 (kima cha chini kabisa japo unaweza pata zaidi) kama malipo ya kazi kwa saa, utakuwa na 640USD. wakati huo umepata full funded scholarship. Utagharmiwa kila kitu mpaka nauli.

Wakuu nimetoa hesabu ya haraka tu. Unaweza pata hela nzuri zaidi ya hiyo. Lakini pia baada ya kumaliza masomo utapewa muda wa kukaa katika nchi husika kwa kipindi cha miezi 18 (siyo kila nchi) kutafuta kazi. Ukifanikiwa kupata, amini kwamba waliokutangulia kupata kazi bongo wengi utawazidi.
Changamoto ya nchi za ulaya ni haya ma IELTS au TOEFL...ukiwa nayo unatoboa. Kama hauna hayo magharama yake yanazingua unless upate ambayo haihitaj hizo language proficiency tests
 
Tumetoka mbali Sana,alafu mapenzi siyo kitu rahisi kama ulivyonishauri
umeongea point afsa,kwenye luv huchomoki kizembe tena mkiwa mmekuwa pamoja for long, mfano mm mwaka wa sita huu,tunagombana na kusameheana, bebi wangu deili ana niambia mfwende nioe hvo hvo. but nikicheki ramani kula yangu tu MUNGU anasaidia.
 
Back
Top Bottom