Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Wakina kunguru wa Manzese wakimaliza tu mwezi wa tatu baada ya mda kidogo nyie mnaofanya usahili magereza sahivi pdf yenu inatoka
 
Kwamba watu Wa kawaida wasio na refa wanapewa UNFIT Ili watoto Wa vigogo waingie katikati ya koz???
Mtoto wa masikini kutoboa nchi hii iliyooza kwa rushwa na nepotism ni ngumu mno , hata ile ya juzi waliyokuwa wanaongea kwamba taasisi ziruhusiwe kuajiri zenyewe kuna mtu ni kawa namwambia mtoto wa kapuku asahau kuajiriwa huo mfumo ukirudi tena , sasa imagine majeshi tu humo watu wanaingiaga kwa kuhonga je hizo taasisi nyingine si ndio kwishney kabisa
 
Ni 10 yupo sahihi

Yani hata iweje chief
WAkati wako ukifika umefika tu haijalishi magumu unayopitia hivi sasa haijalishi umekulia kwenye msingi wa maisha ya kawaida sana ...
Nafasi yako wakati wako na bahati yako huwa vipo vitafika tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…