Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mujibu hutoboi labda kama huna connection kuna dada aliingia kupitia bogi la afya yeye amesoma mamb mengine kabsa.
Mkuu ebu tusiwaongelee hao tujiongelee sisi kwanza watoto wa maskini ambao sisi ndo tunategemewa tuje badirisha mazingira ya home

Watoto ambao hatuna mtu wakutushika mkono kama huyo dada tunapojadir tubase huko je mujibu wa sheria tutatoboa au wanaruhusiwa kuomba ?
 
Jw hawana hiyana kama watakuita basi unaweza kutoboa
 
Jw hawana hiyana kama watakuita basi unaweza kutoboa
Hii nakataa unaweza ukaitwa... Cku ya ukaguzi wa vyeti ukachomolewa
Kuna mwana Lile bogi la afya aliitwa kulipokagua vyeti hakuwa na leseni yaan ilivyo Ili mtaalam afya uwe kamili kufanya kazi hospital unatakiwa uwe na leseni kutoka Baraza lako. Hakuwa nayo akarudishwa
 
Ila mambo ya mbanga yapo pale pale... Wakufanikishwa magumu yakukuzuia
 
Mkuu ni kweli alichomolewa siku wanaijiwa kambini kwenda rts kihangaiko lakini alipiga simu moja kesho yake akaijiwa hapo kambini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…