Unaona uko sahihi au unakosea?
Jitafakari then jibu usikurupuke
Mwisho wewe ni Mjinga sana.
Ameshavuka viwango vya ujinga, huyo ni mpumbavu grade one.
Tulianza kuwapokea wa kujitolea Op Uchumi wa kati mwaka 2020 mwezi wa 12 na walikuwa ni elimu zote la saba hadi elimu ya juu!!
Kumbuka kipindi hicho Op melerani ndio walikuwa wanajiandaa kurudi makwao hivo muitikio wa kuripoti ulikuwa mdogo sana.
Kambi niliyokuwepo ilitakiwa ipokee vijana wa kujitolea 500+, hadi deadline inafika walikuwa wameingia 258 tuu.
Kilichotokea mwanzoni mwa 2021 walisitisha hiyo Op na wote walirudi makwao wakaambiwa kuwa wataitwa tena!
Kikochotokea sasa baada ya kurudishwa huku wanajeshi wakaanza kutafuta ndugu zao ili kuwaongezea waje kujitolea na sifa kuu ilikuwa ni awe wa kidato cha nne.
Baadae ndio ikatangazwa warudi kidato cha nne pekee yao makambini walikopangiwa kabla ya kurudishwa, na hapo jina likabadilishwa wakaitwa op Samia ambao wapo makambini hadi leo kama Seniors wa op Mabeyo.
Wakati huohuo huyu 92 wa mchongo anaowaita waasi walikuwa wakiendelea na ujenzi nao walikuwa ni Op mbili tuu, nazo ni Marelani na Op makao. Hadi pale sakata la uasi lilipo ibuka na baadhi yao kusitishiwa mkataba.
Baadae walisamehewa na kurudishwa mafinga JKT wakisubiri kupelekwa Msata.
Kweli walipelekwa Msata na kule wamechujwa sanaa na wale inaosemekana ni unfit walirudishwa makwao na baadhi yao mmefanya nao saili za PT na MT, naveengine wameenda UT.
Kiujumla hili tangazo linawahusu Op makao, Op malerani na magufuli na kuendelea(kama wapo) wenye vigezo.
Elimu ya juu kuungia kujitolea ni miaka 25 na watu wamekaa miaka 3 na wao wanajua hili na wametaka 27.
Kama upo na miaka 28 na kuendelea nanafsi inakwambia tuma, wewe tuma tuu.. huwezi jua.