Hivi we hata maaana ya kutumia hata hiyo anonymous I'd unajua??Wew Mwanajeshi wa Kambi gan? Em Tufahamiane Tafadhari naona unajiachia tu kujitambulisha ovyo ovyo..wakat juz wew ndo ulini Underrate na kunambia Wanajeshi hatujitambulish kirahisi hivyo baad ya kukwmbia nipo hpa ninty two sanga sanga WTF
Form ataishia NCO tu kama ulivyoeleza afwandreeForm 4 cheo chake akikomaa mpk mwisho ataishia Wo1 hafiki 1 star labda akajiendeleze ndio maana nawaambia nyie vitoto hamjui kitu
😁 wacha nikaeSijafanikiwa kusoma vigezo wanavyotaka. Naomba kujua je ile sifa ya kufeli imewekwa au hawajaiandika
Hv 4m 4 kuwa na nyota mkuu imekaaje utaratibu wake au kuna mpangilio gani maana naonaga wengi wenye elimu za chini ni vyeo vya chini mkuu
Hiyo ya form 4 ni kwamba mi mwnyew zaman nlifaham hawez kupata star ila mwaka juz juz kn nafas zilitoka za watu kwnda kusomea nyota kn best ang mmoja yupo Kikosi cha Anga kizuka As 121 alienda kusomea nyota kwa kuchaguliw na uongoz tena walienda wengi na asahiv ana nyotaHv 4m 4 kuwa na nyota mkuu imekaaje utaratibu wake au kuna mpangilio gani maana naonaga wengi wenye elimu za chini ni vyeo vya chini mkuu
Boratu kusema upate ahueni moyoni mwako😁 wacha nikae kmya kwanz
Bado hujui kitu sibishani na Askari wa mwaka jana mim...Jibu lako nimekupa hapo Mtu anavyopata nyota lisome ItakusaidiaForm 4 cheo chake akikomaa mpk mwisho ataishia Wo1 hafiki 1 star labda akajiendeleze ndio maana nawaambia nyie vitoto hamjui kitu
Huyu atakuwa askari wa India tena She na ana namba ndogo anataka cheo kwa form 4 ataishia W-I Bibi na Bwana asome angalau six apate uafisa siyo NCOBado hujui kitu sibishani na Askari wa mwaka jana mim...Jibu lako nimekupa hapo Mtu anavyopata nyota lisome Itakusaidia
Mimi sijajitaja nimemuambia yeye hilo jeshi analosimuliwa sisi tumepita huko tume hustle zaid yake na hio msata anayoiota tushapita yeye sasa ndio anaweweseka mala oohh utaishia coplo sijui privateWew Mwanajeshi wa Kambi gan? Em Tufahamiane Tafadhari naona unajiachia tu kujitambulisha ovyo ovyo..wakat juz wew ndo ulini Underrate na kunambia Wanajeshi hatujitambulish kirahisi hivyo baad ya kukwmbia nipo hpa ninty two sanga sanga WTF
😁😁Huyu atakuwa askari wa India tena She na ana namba ndogo anataka cheo kwa form 4 ataishia W-I Bibi na Bwana asome angalau six apate uafisa siyo NCO
Ndio Non commissioned officer (NCO) na sio Commissioned officerForm ataishia NCO tu kama ulivyoeleza afwandree
Yes sir!Ndio Non commissioned officer (NCO) na sio Commissioned officer
Na ndo ambapo nilitak nishangae naingia forum nakuta mmefika mpk habari ya kukashifiana kivyeo Aisee..Mbn ka kulitukana jeshi sasaMimi sijajitaja nimemuambia yeye hilo jeshi analosimuliwa sisi tumepita huko tume hustle zaid yake na hio msata anayoiota tushapita yeye sasa ndio anaweweseka mala oohh utaishia coplo sijui private
Ona sasa unavoanza kutoa bokoKn nafasi huwa zinatoka ukiw ndan ya Kambi..jaman Ishini Au Ongeen na watu vizuri...Form Four Anaweza kupata nyota..msijidanganye..sibishan tena hapo
Kwani kuna tusi hapo mkuu?Jamani kama ni mjadala em tulete mijadala ya kujadilika sio kuanza kutukana vyeo humu mara Coprol mara Bibi na bwana aisee Hiyo mbaya Toa Point km ni ya uongo tunaku crash unakaa pemben..pia ni elimu
😁nimetoa boko lipi sas ndugu yang mbona mapovuu mengi..Ona sasa unavoanza kutoa boko
Hapana ila kn sehem nilisoma nkakuta mara utafia na Ucoprol mara bib na bwana..sas kwan Bib na bwana sio cheo? Km sio mbn Major ana kibebaKwani kuna tusi hapo mkuu?