hahahaaa jobless tunateseka sana[emoji1][emoji1] Hiyo inaitwa haiishi mpaka iishe,unapiga kozi mpaka unaamua kuondoka mwenyewe
Fungua moyo hadi mwezi wa nne kati mkuu.PT bana...Ni kama hawajiamin Na Pdf lao.
Mbali sana hukoo umeenda No no noFungua moyo hadi mwezi wa nne kati mkuu.
Na unateseka zaidi kuona mfano jina lako hakijatokea[emoji28] na kama likitokea huko depo Napo unateseka kupambania kombeUnateseka kusubiri ajira
unateseka kutuma maombi
unateseka kwenda usahili
unateseka kufanya usahili
unateseka kusubiri PDF[emoji28][emoji28]
hivi huko kazini nako hakuna kuteseka kweli?[emoji28]
[emoji16]Kama Wiki hii PDF isipotoka Mpk Next week Basi Msubiri Tarehe 24 mwez wa 4 yaan...24th April..Hii ni kuipisha Ramadan month..Lonja nawapa 96% zikipita hizo week bas tukutane hiyo tarehe...Shika maneno hayo Usipindishe hata nukta..ikiwezekana Wekea Lamination[emoji419][emoji375] #NeverGiveUp[emoji123]
Hivi hizi Habari mnazitoaga wap?? [emoji23] [emoji23]Kama Wiki hii PDF isipotoka Mpk Next week Basi Msubiri Tarehe 24 mwez wa 4 yaan...24th April..Hii ni kuipisha Ramadan month..Lonja nawapa 96% zikipita hizo week bas tukutane hiyo tarehe...Shika maneno hayo Usipindishe hata nukta..ikiwezekana Wekea Lamination[emoji419][emoji375] #NeverGiveUp[emoji123]
Mbona unakwepa hili swali? Haya kwa mara nyingine niambie ni lini ulifanyika usaili wa mujibu wa sheria kwenda kuwa askari?Yeah huo ndio utaratibu, lazima wanaotakiwa wafanyiwe usaili kwanza halafu wakimaliza course wote warudi nyumbani, then waliochaguliwa wanapigiwa simu
Lakini point ni kwamba hao wenye vigezo ambavyo jeshi linavitaka huwa wanaulizwa kama wako tayari kubaki au la maana hawalazimishwi, na kubaki huko haina maana kwamba hawarudi nyumbani, kurudi wanarudi wote kama tu wanavyofanyiwa wa kujitolea then wataochaguliwa ndio wanapigiwa simu
Mimi nilichomkatalia jamaa ni kusema kwamba mujibu hawahitajiki jeshini, halafu baadaye akabadili gia angani, akasema wanahitajika ila kama officers
Unaweza ukashika Au ukapuuzia Lakin Haitobadilisha Ukweli ila Ukiendelea kushikilia unachokiamini wew ndo Utaishia kuumia Mana Watz mnapenda Uongo unao fariji kuliko Ukweli unao umiza...Am out📌🔨
Achana na hayo mambo...tushayaweka kando....toa lonja nyngne mambishano yameisha....kila mmoja ni mshindi[emoji3]Mbona unakwepa hili swali? Haya kwa mara nyingine niambie ni lini ulifanyika usaili wa mujibu wa sheria kwenda kuwa askari?
Anyways!!! Ngoja nizipuuze tuUnaweza ukashika Au ukapuuzia Lakin Haitobadilisha Ukweli ila Ukiendelea kushikilia unachokiamini wew ndo Utaishia kuumia Mana Watz mnapenda Uongo unao fariji kuliko Ukweli unao umiza...Am out[emoji419][emoji375]
Done
Zee la kazi umezingua[emoji16][emoji16] ulisema week hii. Week hii ndo hii unasema baada ya mwezi wa ramadhani. Jeshi gani hiloUnaweza ukashika Au ukapuuzia Lakin Haitobadilisha Ukweli ila Ukiendelea kushikilia unachokiamini wew ndo Utaishia kuumia Mana Watz mnapenda Uongo unao fariji kuliko Ukweli unao umiza...Am out[emoji419][emoji375]
Puuzia [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Daah Ndugu..Yan kn mtu kanipigia hapa jion ya saa1 katika maongez nkamuuliza vip mbn mpo kimya leo imeisha..sasa na yeye ndo akanipa hiyo ripoti..lakn zijamaanish kwmba ndo hayatok wiki hii ielewe vzr sentens bossZee la kazi umezingua[emoji16][emoji16] ulisema week hii. Week hii ndo hii unasema baada ya mwezi wa ramadhani. Jeshi gani hilo
Mwache apuuzie sas hata asipo puuzia mi inanilipa shingapi..akat nafany km kutoa msaada wa Lonja kn watu wanaunga MB's kila siku wakitegemea kukuta PDF hapaPuuzia [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]