Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na we ni Team Popo e By nightHaswaaa
duuh keshokutwa tenaEmu Keshokutwa Waachie hiyo PDF mana Lasivyo naona vijana wakiugua "SLEEPING SICKNESS" this month [emoji41]
Ondoa Presha Kijana PDF is there for you na Utakwepo..! Cha muhimu Kunywa Maji Mengi Fanya mazoez vya kutoshaduuh keshokutwa tena
bwana yesu na malia,afande hadi ng"oka 823kj remembering those days.Nadhani utakuwa unawafahamu afande ng'ombe, bulilo etc.
Dah hiyo nafasi niliisikia juu kwa juu tu.
dah kua na kiasi mkuu..magonjwa ya kipumbavu ni yapi hayo.We mara ya mwisho kutoka jeshini ni lini?
Mujibu wanaingia jeshini hadi na ukimwi na hawazuiliwi na mpaka wanamaliza kozi pia matattoo halafu unasema hakuna utofauti kati ya mujibu na kujitolea wengine hata uvungu wa miguuni hawana halafu unakaza fuvu hapa nenda hata saili za kujitolea utaona kama kuna mtua anaruhusiwa kuingia akiwa hata na tattoo au magonjwa ya kipumbavu.
Mtu anapiga kozi harusiwa hata kukaa chini mwanzo mwisho halafu leo huyo huyo mtu uje umfananishe na wa kujitolea ila we utakuwa una shida mahali sio bure
Afande Ng'ombe nakumbuka alikuwa Danger coy!Nadhani utakuwa unawafahamu afande ng'ombe, bulilo etc.
Dah hiyo nafasi niliisikia juu kwa juu tu.
Binadamu na hekima ni maadui wakubwa sanadah kua na kiasi mkuu..magonjwa ya kipumbavu ni yapi hayo.
dah kanishangaza sana jamaa..mtu kama huyu ndo akakabidhiwe bunduki,au awekwe sehemu ya kutoa haki spati picha atakavyo wafanya binaadamu wenzie.Binadamu na hekima ni maadui wakubwa sana
Mimi nasomaga hoja tuu nikisubiri matokeoNa we ni Team Popo e By night
Nilipata notification ndo mana nipo naNa we ni Team Popo e By night
Hahahah kwa hyo si mjibu tulienda semina daajNi iko hivyo... Asilimia kubwa wana makasiriko yasiyo na faida... Kwasisi ambao Bado hatujaingia ukimfata akupe ushauri aaaaaaaah umekufa... Especially ukiwa wa mujibu...utaambiwa ulienda jeshi au ulienda seminar...
823kj Msange moja respect sana hasa mkuu wetu mihayo mtu wa watubwana yesu na malia,afande hadi ng"oka 823kj remembering those days.
Oh vizurii sanaMimi nasomaga hoja tuu nikisubiri matokeo
Mkuu umetutenga sanaHuu Uzi uliuacha Kwanza kuna muda wanitia stress Sana wakuu,kila la kheri nitakuwa nakuja mara Moja humu
😄😄 Hiyo inaitwa haiishi mpaka iishe,unapiga kozi mpaka unaamua kuondoka mwenyewepolisi kama pdf ni hivi maslahi ndo yanakuwaje sasa huko kazini,kama kuweka majina tuu ndo hivi, unaweza kuta hata kozi mkapiga hadi 2025 haiishi[emoji28]
Mwezi ujao..Wenye Lonja jamani Pdf lini wakuu?