mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
naona vijana mnasubiria pdf ya PT ,wapo watakao enda na wapo watakao baki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona vijana mnasubiria pdf ya PT ,wapo watakao enda na wapo watakao baki
konekisheni kaza moyo
Barua umeona posta ?Daaah watu ni wengi sana aiseee barua jinsi zinavyorundikana....sjui kule makao wanaenda kusomaje, , , , oy wakubwa naposema watu ni wengi ni wengi aseee
Watu wanapeleka kwa mkonoDaaah watu ni wengi sana aiseee barua jinsi zinavyorundikana....sjui kule makao wanaenda kusomaje, , , , oy wakubwa naposema watu ni wengi ni wengi aseee
Mzee baba nyomi la watu sio poaBarua umeona posta ?
Unapelekaje kwa mkono mkuu na kuna anuani.....kwa mkono ni wale waliokuwa kule kule dodoma nafikiri.....ila kwa waliokuwa nje ya mikoa mingine unapelekaje kwa mkono mkuu....Watu wanapeleka kwa mkono
Ni kwa posta au email mkuu ndio naona watu wanatumiaWatu wanapeleka kwa mkono
Hatari unaambiwa watu wanapishana vibaya sana mlangoni....ila nahisi nyomi ni leo tu coz watu wengi wanapeleka leo ili ziwah kufika muda wenyewe mdogo sana wameweka....ila ukweli watu ni wengiMzee baba nyomi la watu sio poa
Sasa ndo unambie huo mfumo waliotumia wao kuingia chomboni!Wewe jamaa acha kubadili gia angani mwanzo ulisema mujibu hawana umuhimu na hawahitajiki kabisa jeshini, baada ya kubanwa ndio ukabadilisha ukasema wanahitajika ila wanaingia kama military science na officer cadet, sasa kwani ukiwa officer unakuwa siyo mwanajeshi kwani wanajeshi ni maaskari tu
Halafu nani kakudanganya kwamba mujibu hawaguswi kawadanganye hao hao ambao hawakupita jkt kijana, sisi wengine tumepita na tumepigwa na kula madoso sana tu waliokuwa hawaguswi ni wale wagonjwa wa kudumu, wale walikuwa wanatengwa pembeni wanapewa vizoezi na vikazi vidogo vidogo vya kawaida tu
Mujibu wapo wengi tu wanaoingia uaskari bila mbanga ndio maana nikakuambia siyo kila form six lazima akawe officer hebu elewa hilo kwanza, wapo wanaoingia uaskari na wanaishia huko huko kwenye uaskari hawaendi monduli, na wala wanakuwa hawajazingua chochote ni kwamba tu hawajachaguliwa kwenda na hata jeshi linakuwa linajua kabisa
We mara ya mwisho kutoka jeshini ni lini?Wewe jamaa acha kubadili gia angani mwanzo ulisema mujibu hawana umuhimu na hawahitajiki kabisa jeshini, baada ya kubanwa ndio ukabadilisha ukasema wanahitajika ila wanaingia kama military science na officer cadet, sasa kwani ukiwa officer unakuwa siyo mwanajeshi kwani wanajeshi ni maaskari tu
Halafu nani kakudanganya kwamba mujibu hawaguswi kawadanganye hao hao ambao hawakupita jkt kijana, sisi wengine tumepita na tumepigwa na kula madoso sana tu waliokuwa hawaguswi ni wale wagonjwa wa kudumu, wale walikuwa wanatengwa pembeni wanapewa vizoezi na vikazi vidogo vidogo vya kawaida tu
Mujibu wapo wengi tu wanaoingia uaskari bila mbanga ndio maana nikakuambia siyo kila form six lazima akawe officer hebu elewa hilo kwanza, wapo wanaoingia uaskari na wanaishia huko huko kwenye uaskari hawaendi monduli, na wala wanakuwa hawajazingua chochote ni kwamba tu hawajachaguliwa kwenda na hata jeshi linakuwa linajua kabisa
Wewe mara ya mwisho kutoka jeshini ni lini ili nkuambie yanayojiri sasa kuhusu mujibu wa sheria maana hujui kinachoendelea!Wewe jamaa acha kubadili gia angani mwanzo ulisema mujibu hawana umuhimu na hawahitajiki kabisa jeshini, baada ya kubanwa ndio ukabadilisha ukasema wanahitajika ila wanaingia kama military science na officer cadet, sasa kwani ukiwa officer unakuwa siyo mwanajeshi kwani wanajeshi ni maaskari tu
Halafu nani kakudanganya kwamba mujibu hawaguswi kawadanganye hao hao ambao hawakupita jkt kijana, sisi wengine tumepita na tumepigwa na kula madoso sana tu waliokuwa hawaguswi ni wale wagonjwa wa kudumu, wale walikuwa wanatengwa pembeni wanapewa vizoezi na vikazi vidogo vidogo vya kawaida tu
Mujibu wapo wengi tu wanaoingia uaskari bila mbanga ndio maana nikakuambia siyo kila form six lazima akawe officer hebu elewa hilo kwanza, wapo wanaoingia uaskari na wanaishia huko huko kwenye uaskari hawaendi monduli, na wala wanakuwa hawajazingua chochote ni kwamba tu hawajachaguliwa kwenda na hata jeshi linakuwa linajua kabisa
Chief umeona hata wewe....yaani ni hatareee daaahHatari unaambiwa watu wanapishana vibaya sana mlangoni....ila nahisi nyomi ni leo tu coz watu wengi wanapeleka leo ili ziwah kufika muda wenyewe mdogo sana wameweka....ila ukweli watu ni wengi
Wazi afandeKuanzia kesho wazee wa pdf