Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nimekuja kugundua ni unaongea ili ufurahishe watu, haya umesema kuna mujibu wapo huko na wameingia bila mbanga! Haya nakuuliza yeye huyo kaingia kwa utaratibu upi hahahah! Dah unachekesha ujue hahah! Mujibu akimaliza miezi mitatu anaenda nyumbani sasa nakuuliza kwamba alifanya usaili akiwa ndazi ya kozi ili awe askari au alivyorudi nyumbani ndo akafanya usaili hahaha!Asee kwahiyo wewe unadhani kila mujibu lazima akawe officer kisa tu ana elimu ya form six, mbona kuna mujibu kibao huko tunawafahamu ni maaskari tu hawajaenda monduli na wala hawajazingua chochote, huyo ndugu yangu nilimtolea mfano tu sababu ndio mtu wa karibu zaidi ila wapo wengine tunawafahamu ni mujibu na ni maaskari na wala hawakuingia kwa mbanga
Mkuu Jadda , kwa kuwa hutaki kwenda na una konekisheni za jeshini, ninaomba unikonekti mimi nikashike silaha ndugu. Ninaiota Kihangaiko mpaka nilishahitimu kozi pale ndotoni ujue. Nikonekti mimi nikaungane na vijana kulinda Taifa mkuu, ninalitaka sana jeshi.Watu wana connection zao huko kijana, siyo kwamba wanapaota huko msata ni kwamba wakitaka muda wowote wanaingia, mnaopaota ni ninyi msio na connection
sio lonja tuu hata PDF linaweza likatumwa humu tusilione[emoji23]Inaweza ikatumwa lonja ata usiione... Kutokana na mabishano haya
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]sio lonja tuu hata PDF linaweza likatumwa humu tusilione[emoji23]
[emoji3][emoji3]tunaomba kuanzia kesho kuwe kimya tunafunga kusubiri PDF tuu
Aise hata barua ya maombi..??[emoji848][emoji848][emoji848]Jamani mii naomba ambae anajua kuandika barua ya maombi ya JW atupe Muongozo
hatar mzeeAise hata barua ya maombi..??[emoji848][emoji848][emoji848]
Nahisi kunakitu hujaelewa bado ila watao nielewa watanipa muongoz apa au DMAise hata barua ya maombi..??[emoji848][emoji848][emoji848]
Unachotakiwa ujue ni kwamba jeshi la kujenga Taifa limebadilika kwa mujibu kuanzia JPM alivyoingia kwanza mujibu wanaingia wote wanamaelekezo yani mujibu hapigwi wala nini sasa jichanganye umguse mujibu utaona hata makamanda wanawaogopa ukija kwenye kujitolea ni mzigo to mzigo haya kwenye vyeti vyao upo utafauti na vinajieleza kabisa kwamba huyu mujibu na huyu ni kujitolea halaf wewe unakuja kusema hakuna utofauti.Huna unalojua wewe tofauti kati ya mujibu na kujitolea ni muda wa course ila mtaala ni ule ule hayo mengine yote uliyoongea ni upuuzi tu, hata jeshi lenyewe linajua ndio maana hata mujibu nao wanakula madoso wanafundishwa kutumia silaha wanaenda shamba, na wakimaliza course wanaapa na huanza kuitwa service men/girls na hupewa namba kama wa kujitolea tu sasa sijui huo uspecial wa kujitolea uko wapi
We jamaa unachojua ni kuandika txt ndefu tu...mujibu kibao wako kwenye chombo bila hata hizo mbanga sijui nnUnachotakiwa ujue ni kwamba jeshi la kujenga Taifa limebadilika kwa mujibu kuanzia JPM alivyoingia kwanza mujibu wanaingia wote wanamaelekezo yani mujibu hapigwi wala nini sasa jichanganye umguse mujibu utaona hata makamanda wanawaogopa ukija kwenye kujitolea ni mzigo to mzigo haya kwenye vyeti vyao upo utafauti na vinajieleza kabisa kwamba huyu mujibu na huyu ni kujitolea halaf wewe unakuja kusema hakuna utofauti.
Haya nakuliza tena maana hujanijibu ulisema kuna mujibu wameingia bila mbanga na huo usaili ulikuwa ni na utaratibu upi ambao ulitumika kuwachukua ili wakawe askari?