[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wakuu ..hivi unaweza piga kozi PT ukiwa na swaumu .Ama vipi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni secular state yaani ni nchi isiyofungamana na dini yoyote au haina dini na hvyo vyombo vya ulinzi ni kama serikali vile kwahyo ukienda kozi sahau kabisa samaleko, kule ata wadada nahisi menstruation hawaipatiwakuu ..hivi unaweza piga kozi PT ukiwa na swaumu .Ama vipi
Ndio. Utaratibu wa ftari upo. Course inaenda tu. Wanaoweza wanafunga. Wasioweza hawafungi.wakuu ..hivi unaweza piga kozi PT ukiwa na swaumu .Ama vipi
😂😂😂Hii kali .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni secular state yaani ni nchi isiyofungamana na dini yoyote au haina dini na hvyo vyombo vya ulinzi ni kama serikali vile kwahyo ukienda kozi sahau kabisa samaleko, kule ata wadada nahisi menstruation hawaipati
Serikali haina dini ila inaheshimu dini za watu. Kipindi cha mafunzo , watu wote kwa dini zao wanaruhusiwa kwenda ibada, wakristo makanisani siku ya jumapili, wasabato jmosi na hata waislamu siku ya ijumaa kwa ajili ya swala. Waislamu wanaofunga hawakatazwi kufunga na utaratibu wa kupata ftari upo. Watakaoenda course hii wana bahati mfungo umewakuta wakat course rasmi ikiwa haijaanza maana kariba mwezi mzima huu wa kwanza utakuw ni wa usajili, kashkash hazitakuwa nyingi...kina dystonia mfungo uliwakuta wako porini...ambako ndio kwenye upolisi wenyewe, u can imagine na ugumu huo ila watu walikuw wanafunga na kuendelea na mfungo. Kumuomba Mola wako ni muhimu kwani lolote laweza tokea kwenye course.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni secular state yaani ni nchi isiyofungamana na dini yoyote au haina dini na hvyo vyombo vya ulinzi ni kama serikali vile kwahyo ukienda kozi sahau kabisa samaleko, kule ata wadada nahisi menstruation hawaipati
Ndio. Utaratibu wa ftari upo. Course inaenda tu. Wanaoweza wanafunga. Wasioweza hawafung
Serikali haina dini ila inaheshimu dini za watu. Kipindi cha mafunzo , watu wote kwa dini zao wanaruhusiwa kwenda ibada, wakristo makanisani siku ya jumapili, wasabato jmosi na hata waislamu siku ya ijumaa kwa ajili ya swala. Waislamu wanaofunga hawakatazwi kufunga na utaratibu wa kupata ftari upo. Watakaoenda course hii wana bahati mfungo umewakuta wakat course rasmi ikiwa haijaanza maana kariba mwezi mzima huu wa kwanza utakuw ni wa usajili, kashkash hazitakuwa nyingi...kina dystonia mfungo uliwakuta wako porini...ambako ndio kwenye upolisi wenyewe, u can imagine na ugumu huo ila watu walikuw wanafunga na kuendelea na mfungo. Kumuomba Mola wako ni muhimu kwani lolote laweza tokea kwenye course.
Hii ishu kwa TPDF sidhani kama ipoSerikali haina dini ila inaheshimu dini za watu. Kipindi cha mafunzo , watu wote kwa dini zao wanaruhusiwa kwenda ibada, wakristo makanisani siku ya jumapili, wasabato jmosi na hata waislamu siku ya ijumaa kwa ajili ya swala. Waislamu wanaofunga hawakatazwi kufunga na utaratibu wa kupata ftari upo. Watakaoenda course hii wana bahati mfungo umewakuta wakat course rasmi ikiwa haijaanza maana kariba mwezi mzima huu wa kwanza utakuw ni wa usajili, kashkash hazitakuwa nyingi...kina dystonia mfungo uliwakuta wako porini...ambako ndio kwenye upolisi wenyewe, u can imagine na ugumu huo ila watu walikuw wanafunga na kuendelea na mfungo. Kumuomba Mola wako ni muhimu kwani lolote laweza tokea kwenye course.
Serikali haina dini ila inaheshimu dini za watu. Kipindi cha mafunzo , watu wote kwa dini zao wanaruhusiwa kwenda ibada, wakristo makanisani siku ya jumapili, wasabato jmosi na hata waislamu siku ya ijumaa kwa ajili ya swala. Waislamu wanaofunga hawakatazwi kufunga na utaratibu wa kupata ftari upo. Watakaoenda course hii wana bahati mfungo umewakuta wakat course rasmi ikiwa haijaanza maana kariba mwezi mzima huu wa kwanza utakuw ni wa usajili, kashkash hazitakuwa nyingi...kina dystonia mfungo uliwakuta wako porini...ambako ndio kwenye upolisi wenyewe, u can imagine na ugumu huo ila watu walikuw wanafunga na kuendelea na mfungo. Kumuomba Mola wako ni muhimu kwani lolote laweza tokea kwenye course.
Hii ishu kwa TPDF sidhani kama ipoSerikali haina dini ila inaheshimu dini za watu. Kipindi cha mafunzo , watu wote kwa dini zao wanaruhusiwa kwenda ibada, wakristo makanisani siku ya jumapili, wasabato jmosi na hata waislamu siku ya ijumaa kwa ajili ya swala. Waislamu wanaofunga hawakatazwi kufunga na utaratibu wa kupata ftari upo. Watakaoenda course hii wana bahati mfungo umewakuta wakat course rasmi ikiwa haijaanza maana kariba mwezi mzima huu wa kwanza utakuw ni wa usajili, kashkash hazitakuwa nyingi...kina dystonia mfungo uliwakuta wako porini...ambako ndio kwenye upolisi wenyewe, u can imagine na ugumu huo ila watu walikuw wanafunga na kuendelea na mfungo. Kumuomba Mola wako ni muhimu kwani lolote laweza tokea kwenye course.
Kaka ilikuw sio poa...ila vijana walifunga na wakatoboa. Ila kati ya vitu nilivyojifunza course, wazanzbar ni watu wenye misimamo sana, kumyumbisha sio rahisi kabisa. Nawaheshimu sana.Serikali haina dini ila inaheshimu dini za watu. Kipindi cha mafunzo , watu wote kwa dini zao wanaruhusiwa kwenda ibada, wakristo makanisani siku ya jumapili, wasabato jmosi na hata waislamu siku ya ijumaa kwa ajili ya swala. Waislamu wanaofunga hawakatazwi kufunga na utaratibu wa kupata ftari upo. Watakaoenda course hii wana bahati mfungo umewakuta wakat course rasmi ikiwa haijaanza maana kariba mwezi mzima huu wa kwanza utakuw ni wa usajili, kashkash hazitakuwa nyingi...kina dystonia mfungo uliwakuta wako porini...ambako ndio kwenye upolisi wenyewe, u can imagine na ugumu huo ila watu walikuw wanafunga na kuendelea na mfungo. Kumuomba Mola wako ni muhimu kwani lolote laweza tokea kwenye course.
Haipo. Ndio tofauti ya hivi vyombo viwili. Ndani ya chuo kuna makanisa mule ndani, kuna msikiti pia. Wakufunzi na familia zao wanasali. Ni jumuiya, hivyo hata makuruta wanaruhusiwa kwa siku zao za ibada angalau saa 1 au mawili kumkumbuka Mungu then mnarudi kuendelea na kazi za watu.Hii ishu kwa TPDF sidhani kama ipo
Ndio maana unaambiwa ukiona kazi kufunga , uache haulazimishwi kabisa. Ila vijana mfungo unawakuta wakati mzuri course ikiwa haijachanganya badoNakumbuka nilivyokuwa jkt mfungo ulitukutia.... Aise kipande nilichokuwa naikubali ni ule mda wa kuchukuliwa wadau wa kwenda kula daku... To be honest kuruti ni mdudu hashibi ilo bogi nilikuwa na join... Ila walokuwa wanafunga walikuwa wanapata wakati mgumu sana maana hakuna favour juu yao Kila mtu anapiga jalamba equally
Nilitaka kumaanisha kwenye Jeshi mama yaani Tpdf ambako ndo kazikaziSerikali haina dini ila inaheshimu dini za watu. Kipindi cha mafunzo , watu wote kwa dini zao wanaruhusiwa kwenda ibada, wakristo makanisani siku ya jumapili, wasabato jmosi na hata waislamu siku ya ijumaa kwa ajili ya swala. Waislamu wanaofunga hawakatazwi kufunga na utaratibu wa kupata ftari upo. Watakaoenda course hii wana bahati mfungo umewakuta wakat course rasmi ikiwa haijaanza maana kariba mwezi mzima huu wa kwanza utakuw ni wa usajili, kashkash hazitakuwa nyingi...kina dystonia mfungo uliwakuta wako porini...ambako ndio kwenye upolisi wenyewe, u can imagine na ugumu huo ila watu walikuw wanafunga na kuendelea na mfungo. Kumuomba Mola wako ni muhimu kwani lolote laweza tokea kwenye course.
Yeah na mimi nilitaka kumaanisha kwa TPDF maana nakumbuka ata kozi ndogo tu ya mujibu wa sheria kusali utakusikia kwenye bomba sasa iyo yenyewe yenyewe ya Kihangaiko itakuwaje!Haipo. Ndio tofauti ya hivi vyombo viwili. Ndani ya chuo kuna makanisa mule ndani, kuna msikiti pia. Wakufunzi na familia zao wanasali. Ni jumuiya, hivyo hata makuruta wanaruhusiwa kwa siku zao za ibada angalau saa 1 au mawili kumkumbuka Mungu then mnarudi kuendelea na kazi za watu.
I appreciate that!Vijana mnaenda CCP kujiunga na mafunzo., sio lazima uutaarifu mtaa mzima au ukoo mzima kama umepata nafasi ya kwenda mafunzo. Wengine unawaambia wana roho mbaya na hawataki ufanikiwe. Unajikuta unaenda mafunzoni, mambo yanakuw magumu. Wewe nenda kimyakimya, wakijua wazaz wako tu na ndugu wachache inatosha. Kuna watu wana wivu, waafrika tuna mambo mengi.😂Nendeni mkapige course , ukigraduate na kuingia chomboni rasmi basi watajua. Kuna watu tumepiga nao course wazaz wao walikuw wanajua vijana wapo wanajitolea jkt kumbe wanachukua upolisi. Walipotoka ndio wakarudi na uniform. Sio kila mtu anatakiwa kujua ur whereabouts...otherwise let them see ur achievements at the end. All the best vijana wa Mungu.
Mademu wa kitaa wawasqhau kamanda...labda kama wameoa ila ukiacha demu kitaa mwaka mzima...huyo usijifariji kuwa utamkuta ni wako tena...😂😂😂😂😂Nendeni mkalie na Ngwena. Muache habari za kitoto mmalize hiyo chapu Kwa haraka
Wale wanangu wa Kazi kazini Safi sana.
Nataka kuona morali morali juu zaidiiii.
Haaa haaaa mafunzo Raha sana wanangu.
Siku ukimaliza ndo utalijua Hilo na umuhimu wako kitaifa, sio mchezo.
Utaona Jukwaaa limepambwa vizuri wakuu mbali mbali wa Nchi wako pale liko full, itifaq tu inazingatiwa.
Nyie siku hiyo wote mmeiva mnawaka balaa hakuna nanga wote makamanda Tyr Kwa Vita
Wazee wale pale, watu fulani wazuri katika hatua zako wako pale , Demu wako yule pale ( Mtoto mzuri sana Aminaaaa nae kaja kukuona Mzee wa kazi kazini) nae kawaka balaa.
Mtulie sio kila raia ajue umeondoka kwenye kunyalika Sasa mtu mweusi ni hatari sana.
Muwe na morali muda wote wanangu mzigo ukianza umeisha
Nasemajeee Morali wanangu..
Kila la kheri wadogo Zangu , Mungu wetu ni Mwema sana.
Sahihi Dys...7 ila mengine yameoa kabisa.Mademu wa kitaa wawasqhau kamanda...labda kama wameoa ila ukiacha demu kitaa mwaka mzima...huyo usijifariji kuwa utamkuta ni wako tena...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]