Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Naombeni msaada wa form ya medical checkup wakubwa mwenye nayo
 
You have no idea brother,kaa kimya tu
Bora ungeuliza what happened ila sio kunikashufu namna iyo unadhania mm napenda
Plus kama ulisoma tangazo lile wametaka fundi ndege
Nambie kampuni gani kubwa unayo ijua wewe hapa tz wameajiri hao mafundi ndege
Bro ulisoma PCM au PGM?
 
CCP mnalala saa 8 usiku mnaamka saa 10 kama sijakosea.

Kozi TPDF ikifunguliwa tu kitanda chako unakisahau rasmi na siyo utani mtatoboa mpaka asubuhi mnajiona hivi hivi mkivurugwa mkachoka sana mnaanza kuimba chenja ndiyo maana jeshini bila chenja mtu unatoroka.
Six week tu kukesha acha uongo arafu pia jeshi RTS course ni miezi mi4 tu ukeshe siku zote ww utakuwa binadamu wa kawaida arafu pia jeshi la sikuizi haki za binadamu zimeingia sana hivyi coz nyingi sio ngumu sio kama sisi miaka ya 1998 pale Kunduchi RTS..
 
Ukichukuliwa na TPDF uwe MD,Engineer wa aina yoyote ni lazima upigishwe mkesha haina mjadala,Mwaka 2017 au 18 raia wote waliokuwa wanafanyakazi Wizara ya Ulinzi na JKT wote walipigishwa kozi japo hawakukaziwa sana kama fresh blood kutoka JKT.

Ukiambiwa kule ni chama la wana a.k.a kiumeni ni kiumeni kweli kweli mnapiga kozi miezi 3 mkimaliza wapo wataochukuliwa na komando kwa kupendekezwa ama wapo wataoomba waende komando huko unaenda jandoni sasa kutolewa uaskari kuingizwa ukomando mwaka mzima ukishindwa kutoboa unarudishwa kikosi cha kivita au JKT.
Wewe mbona Muongo sana unatisha watu humu coz ya TPDF ya kupewa no ni ya kawaida sana coz ngumu za TPDF ni Ukomandoo na Uafisa TMA ngumu kumeza basi izo nyingine ni za kawaida sana acha kutisha vijana...
 
PGO hawaijui sasa miezi 9 unajifunza nini?
Mwaka jana Magufuli aliwapa nafasi Uhamiaji waliotoka JKT walipiga kozi miezi 3 tu pale CU Kimbiji na wako safi sasa hivi makazini.Miezi 9 kwa PT ni upotevu tu wa Rasimali fedha,pigisha kozi nginja nginja ya miezi mitatu alafu kozi nyingine watakutana nazo mbeleni maana jeshini kozi haziishi.
Kila jeshu na taratibu zake...
 
Six week tu kukesha acha uongo arafu pia jeshi RTS course ni miezi mi4 tu ukeshe siku zote ww utakuwa binadamu wa kawaida arafu pia jeshi la sikuizi haki za binadamu zimeingia sana hivyi coz nyingi sio ngumu sio kama sisi miaka ya 1998 pale Kunduchi RTS..
Mkuu mbona sisi ndio tunamtegemea Kwa Lonja humu ndanii Ndugu yetu,uwe unakuja kutupa Lonja basi na wewe
 
You have no idea brother,kaa kimya tu
Bora ungeuliza what happened ila sio kunikashufu namna iyo unadhania mm napenda
Plus kama ulisoma tangazo lile wametaka fundi ndege
Nambie kampuni gani kubwa unayo ijua wewe hapa tz wameajiri hao mafundi ndege
Usivunjike moyo mkuu,hapa JF kuna watu wapo kivita vita muda wote,nakuelewa sana,ajira ni ngumu sana kipindi hiki kwa kada yoyote ile,kuna madogo wapo wanajitolea Precision Air nao hawana ajira,ila Mungu ni wa wote utatoboa tu,TPDF ikitoa nafasi niamini unabebwa vizuri tu ukatimize ndoto zako Kizuka au Airwing pale.
 
Naombeni msaada wa form ya medical checkup wakubwa mwenye nayo
[emoji23][emoji24] nenda hospitali ya Serikali mpe Dokta 10k anakujazia chap na ubandike pasaport yako apige muhuri na sahihi.
 
Six week tu kukesha acha uongo arafu pia jeshi RTS course ni miezi mi4 tu ukeshe siku zote ww utakuwa binadamu wa kawaida arafu pia jeshi la sikuizi haki za binadamu zimeingia sana hivyi coz nyingi sio ngumu sio kama sisi miaka ya 1998 pale Kunduchi RTS..
Nani kasema miezi yote mnakesha? Soma vizuri.Haki za binadamu unaongelea kwenye kozi ya kijeshi mkuu? Haki na taratibu wakati wa mafunzo mtasomewa tu na mkuu wa mafunzo ila utekelezaji ni vitu viwili tofauti.
 
Usivunjike moyo mkuu,hapa JF kuna watu wapo kivita vita muda wote,nakuelewa sana,ajira ni ngumu sana kipindi hiki kwa kada yoyote ile,kuna madogo wapo wanajitolea Precision Air nao hawana ajira,ila Mungu ni wa wote utatoboa tu,TPDF ikitoa nafasi niamini unabebwa vizuri tu ukatimize ndoto zako Kizuka au Airwing pale.
Shukrani mkuu,wewe unaelewa hao wa precision air wengi nawajua madogo niliwaacha chuo na wengine nilisoma nao,inatia hasira sana mtu kuzania umembea kutafuta kazi wakati unakaa ofisin anatoka mtu kasoma China anapewa kazi wewe unaendelea kukaa tu,unaambiwa tulia kula mtori nyama zipo chini [emoji28][emoji28]
 
Wewe mbona Muongo sana unatisha watu humu coz ya TPDF ya kupewa no ni ya kawaida sana coz ngumu za TPDF ni Ukomandoo na Uafisa TMA ngumu kumeza basi izo nyingine ni za kawaida sana acha kutisha vijana...
Nadhani wewe unataka kubishana tu,ugumu wa kozi upo kwa mpiga kozi mwenyewe,kama wewe ulipiga kozi na ukaona mteremko tu ni sawa ila mwingine atasema kozi ngumu aiseeh.

Alafu kozi ni kozi tu hata iwe ya saa moja ugumu hauwezi kukosekana,huko TMA au 92 unakosema wapo waliomaliza na wakasema mambo ni easy.
 
Mkuu mbona sisi ndio tunamtegemea Kwa Lonja humu ndanii Ndugu yetu,uwe unakuja kutupa Lonja basi na wewe
Hana lonja gani huyo ni muongi tuu kama walivyo waongo wengine ww uzi huu umeanza mpaka umefika hapa umeona katoa lonja ipi hapa zaidi ya uongo uongo tuu ngoja ni wambie vijana nyie kuweni watulivu tuu majina yatatoka na mtapata maelekezo....
 
Back
Top Bottom