Siombi mabaya hila ndio uhalisia wa maisha ya kibongoMmmmmhhh Acha kuwaza mabaya kiongozi
Bro ulisoma PCM au PGM?You have no idea brother,kaa kimya tu
Bora ungeuliza what happened ila sio kunikashufu namna iyo unadhania mm napenda
Plus kama ulisoma tangazo lile wametaka fundi ndege
Nambie kampuni gani kubwa unayo ijua wewe hapa tz wameajiri hao mafundi ndege
Mmmmmhhh Acha kuwaza mabaya kiongoziBaada ya polisi wakijakutoa majina yao tarehe isiyo julikana kuna watu watajiua langu jicho tu
Matokeo ya Necta tu ndio watu hujiua,ila Ajira za watu Wengi ni Pata Potea MkuuSiombi mabaya hila ndio uhalisia wa maisha ya kibongo
Wakubwa nisaidieni fomu ya checkup ya afya naipata wapiDaaah leo nimeshtuka sana nilijua zimamoto wananipiigia simu niende kwenye usaili daah kumbe kuna vitu nilikosea kwenye barua nimeambiwa nikarekebishe
Ila all in all Mungu atafanya wepesi tu [emoji120]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Six week tu kukesha acha uongo arafu pia jeshi RTS course ni miezi mi4 tu ukeshe siku zote ww utakuwa binadamu wa kawaida arafu pia jeshi la sikuizi haki za binadamu zimeingia sana hivyi coz nyingi sio ngumu sio kama sisi miaka ya 1998 pale Kunduchi RTS..CCP mnalala saa 8 usiku mnaamka saa 10 kama sijakosea.
Kozi TPDF ikifunguliwa tu kitanda chako unakisahau rasmi na siyo utani mtatoboa mpaka asubuhi mnajiona hivi hivi mkivurugwa mkachoka sana mnaanza kuimba chenja ndiyo maana jeshini bila chenja mtu unatoroka.
Wewe mbona Muongo sana unatisha watu humu coz ya TPDF ya kupewa no ni ya kawaida sana coz ngumu za TPDF ni Ukomandoo na Uafisa TMA ngumu kumeza basi izo nyingine ni za kawaida sana acha kutisha vijana...Ukichukuliwa na TPDF uwe MD,Engineer wa aina yoyote ni lazima upigishwe mkesha haina mjadala,Mwaka 2017 au 18 raia wote waliokuwa wanafanyakazi Wizara ya Ulinzi na JKT wote walipigishwa kozi japo hawakukaziwa sana kama fresh blood kutoka JKT.
Ukiambiwa kule ni chama la wana a.k.a kiumeni ni kiumeni kweli kweli mnapiga kozi miezi 3 mkimaliza wapo wataochukuliwa na komando kwa kupendekezwa ama wapo wataoomba waende komando huko unaenda jandoni sasa kutolewa uaskari kuingizwa ukomando mwaka mzima ukishindwa kutoboa unarudishwa kikosi cha kivita au JKT.
Kila jeshu na taratibu zake...PGO hawaijui sasa miezi 9 unajifunza nini?
Mwaka jana Magufuli aliwapa nafasi Uhamiaji waliotoka JKT walipiga kozi miezi 3 tu pale CU Kimbiji na wako safi sasa hivi makazini.Miezi 9 kwa PT ni upotevu tu wa Rasimali fedha,pigisha kozi nginja nginja ya miezi mitatu alafu kozi nyingine watakutana nazo mbeleni maana jeshini kozi haziishi.
Mkuu mbona sisi ndio tunamtegemea Kwa Lonja humu ndanii Ndugu yetu,uwe unakuja kutupa Lonja basi na weweSix week tu kukesha acha uongo arafu pia jeshi RTS course ni miezi mi4 tu ukeshe siku zote ww utakuwa binadamu wa kawaida arafu pia jeshi la sikuizi haki za binadamu zimeingia sana hivyi coz nyingi sio ngumu sio kama sisi miaka ya 1998 pale Kunduchi RTS..
Usivunjike moyo mkuu,hapa JF kuna watu wapo kivita vita muda wote,nakuelewa sana,ajira ni ngumu sana kipindi hiki kwa kada yoyote ile,kuna madogo wapo wanajitolea Precision Air nao hawana ajira,ila Mungu ni wa wote utatoboa tu,TPDF ikitoa nafasi niamini unabebwa vizuri tu ukatimize ndoto zako Kizuka au Airwing pale.You have no idea brother,kaa kimya tu
Bora ungeuliza what happened ila sio kunikashufu namna iyo unadhania mm napenda
Plus kama ulisoma tangazo lile wametaka fundi ndege
Nambie kampuni gani kubwa unayo ijua wewe hapa tz wameajiri hao mafundi ndege
Barua za ajira na hasa za kijeshi hazina mambo mengi,muhimu ni vile viambatisho vyako.Choo Cha Kulipia emu tusaidie kitu hapa,utume barua ya mfano ili tuandike kwa usahihi,tukikosa huko uhamiaji na zima moto tukose kwasababu zingine na sio umekosea kuandika barua
[emoji23][emoji24] nenda hospitali ya Serikali mpe Dokta 10k anakujazia chap na ubandike pasaport yako apige muhuri na sahihi.Naombeni msaada wa form ya medical checkup wakubwa mwenye nayo
Nani kasema miezi yote mnakesha? Soma vizuri.Haki za binadamu unaongelea kwenye kozi ya kijeshi mkuu? Haki na taratibu wakati wa mafunzo mtasomewa tu na mkuu wa mafunzo ila utekelezaji ni vitu viwili tofauti.Six week tu kukesha acha uongo arafu pia jeshi RTS course ni miezi mi4 tu ukeshe siku zote ww utakuwa binadamu wa kawaida arafu pia jeshi la sikuizi haki za binadamu zimeingia sana hivyi coz nyingi sio ngumu sio kama sisi miaka ya 1998 pale Kunduchi RTS..
Shukrani mkuu,wewe unaelewa hao wa precision air wengi nawajua madogo niliwaacha chuo na wengine nilisoma nao,inatia hasira sana mtu kuzania umembea kutafuta kazi wakati unakaa ofisin anatoka mtu kasoma China anapewa kazi wewe unaendelea kukaa tu,unaambiwa tulia kula mtori nyama zipo chini [emoji28][emoji28]Usivunjike moyo mkuu,hapa JF kuna watu wapo kivita vita muda wote,nakuelewa sana,ajira ni ngumu sana kipindi hiki kwa kada yoyote ile,kuna madogo wapo wanajitolea Precision Air nao hawana ajira,ila Mungu ni wa wote utatoboa tu,TPDF ikitoa nafasi niamini unabebwa vizuri tu ukatimize ndoto zako Kizuka au Airwing pale.
Zinakuwepo pale pale hospital au naitoa wapi kwenda nayo akanijazie[emoji3][emoji23][emoji24] nenda hospitali ya Serikali mpe Dokta 10k anakijazia chap na ubandike pasaport yako apige muhuri na sahihi.
Nadhani wewe unataka kubishana tu,ugumu wa kozi upo kwa mpiga kozi mwenyewe,kama wewe ulipiga kozi na ukaona mteremko tu ni sawa ila mwingine atasema kozi ngumu aiseeh.Wewe mbona Muongo sana unatisha watu humu coz ya TPDF ya kupewa no ni ya kawaida sana coz ngumu za TPDF ni Ukomandoo na Uafisa TMA ngumu kumeza basi izo nyingine ni za kawaida sana acha kutisha vijana...
Pale pale ukimwambia tu anakuelewa haichukui hata dk 10 kukujazia medical report.Zinakuwepo pale pale hospital au naitoa wapi kwenda nayo akanijazie[emoji3]
Ndiyo toa nakala tu.Ngoja kesho niifuate and kama unaomba kote unaruhusiwa kuitoa copy?
Hana lonja gani huyo ni muongi tuu kama walivyo waongo wengine ww uzi huu umeanza mpaka umefika hapa umeona katoa lonja ipi hapa zaidi ya uongo uongo tuu ngoja ni wambie vijana nyie kuweni watulivu tuu majina yatatoka na mtapata maelekezo....Mkuu mbona sisi ndio tunamtegemea Kwa Lonja humu ndanii Ndugu yetu,uwe unakuja kutupa Lonja basi na wewe