Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

yaah afadhali kuingia kimya kimya mzigoni kuliko unaaga kwa mbwembwe unarudi umenywea aiseeh
Kwanza kutangaza unajitia nuksi maana kule waweza rejeshwa nafasi yako akapewa mtu mwingine huku ukaambiwa unfit tu inakuwa imeisha. Vyombo vya ulinzi Hadi umalize mafunzo Huwa Kuna figisu sana na huko ni mwendo wa kujuana zimekuwa kazi za kiukoo na waliomo ndani
 
LET ME MAKE SOMETHING CLEAR OUT HERE!!!

UKIFANIKIWA KUPATA NAFASI IWE JESHI AMA POLISI AU PANDE YEYOTE ILE..

MAKE SURE WA MUHIMU KUJUA NI MZAZI WAKO PEKEE..

NA SI NDUGU/JIRANI/ MANZI/RAFIKI MAANA KIKULACHO HAKITOKI MACCA.

YULE ATAFURAHIA MAFANIKIO YAKO NI MZAZI WAKO PEKEE NA SI MTU MWINGINE.

ACHA WASHANGAE SIKU UKO NA MAVAZI YAKO YA KAZI VILE UTAWAACHA NA MASWALI MINGI BILA MAJIBU.
 
case closed 100%
 
Maafande ivi hakuna aliye pata lonja za usalama wa Taifa
Zimeshapita tayari ila mwezi wa 10 zinaweza kuwepo tena

Mwaka 2015 mpaka 2017 mwishoni nafasi zilitolewa kama njugu watu waliingia kwa fujo mno (connection hasa Uvccm)

Then kuanzia 2019 mwanzoni ikaanza vetting kali ya kutoa magugu maji yalioingia kimchongo na wasio na vigezo

So toka hapo bila kuwa na vigezo angalau kwa 80% HAUTOBOI labda uwe na kitu special
 
Wadau mbona tpdf limekua genge la wauni wanatangaza ajira march na kusema haziuzwa lakini mpaka sasa watu wanaenda kwa message mara naskia wengne waliopganisha wameambiwa wakaripoti oljoro tarehe 20 jwtz kwasasa watoto wa maskini kutoboa ni ngum wanaweza wakapga simu hadi watu wakajaa wote ni mibanga sijui nani hatarudisha jeshi la zaman alikua kama hili mtoto maskin kutoboa labda pt au
 
Bro umetisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…