Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Iyo connection kwann usiitafute ww, kama n rahisi
Braza kila mmoja ana njia yake ya kutafuta connection, ni wepesi wako tu na akili yako...unaweza usijue watu huko ila siku ya usaili wepesi wako wa kuinteract na wajuba unaweza kukupa connection
 
Braza kila mmoja ana njia yake ya kutafuta connection, ni wepesi wako tu na akili yako...unaweza usijue watu huko ila siku ya usaili wepesi wako wa kuinteract na wajuba unaweza kukupa connection
sawa mkuu, nmekupata
 
Wakuu hivi zimamoto kozi yao wanapigia kambi ipi na kwa muda gan..
 
Inavyoonekana huku mikoani siyo kwamba wanapeleka majina makao makuu bali usikute mambo yanakwishaga huku huku kinachobakia kwao ni kusubiri amri kutoka juu ndio watoe majina yao
 
Wakuu amjanijibu swali langu mi Nina ujuzi mkubwa Sana kwwlenhe masuhala ya IT Ila cheti nilichonacho Ni cha short course je naweza kukitumia
 
Wakuu amjanijibu swali langu mi Nina ujuzi mkubwa Sana kwwlenhe masuhala ya IT Ila cheti nilichonacho Ni cha short course je naweza kukitumia
Mkuu una ujuzi upi na upi kwenye IT na short course ya nn programming au networking au nn
 
Omba mkuu kama una cheti cha JKT java na python zitakubeba sana ungepata na kacheti ka certified ungekuwa pazuri pia nmesoma tulioweza kuzipenda programming n wachache
Dah Sasa mkuu cha jkt Sina Ila nilikuwa nataka omba kuhusu hizo za awamu ya pili ambazo awajaweka jkt .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…