Vipimo vyao s vitaniangusha pia mkuuWeka height wanayoitaka hata kama huna..ili uitwe
Vipimo vyao s vitaniangusha pia mkuu
Ngoja nijarbuOmba tuu mkuu....mimi nakushauri OMBA
Iyo connection kwann usiitafute ww, kama n rahisiTuma maombi ivoivo...halafu tafuta connection ya uhakika [emoji4][emoji4]
Braza kila mmoja ana njia yake ya kutafuta connection, ni wepesi wako tu na akili yako...unaweza usijue watu huko ila siku ya usaili wepesi wako wa kuinteract na wajuba unaweza kukupa connectionIyo connection kwann usiitafute ww, kama n rahisi
sawa mkuu, nmekupataBraza kila mmoja ana njia yake ya kutafuta connection, ni wepesi wako tu na akili yako...unaweza usijue watu huko ila siku ya usaili wepesi wako wa kuinteract na wajuba unaweza kukupa connection
Mkuu una ujuzi upi na upi kwenye IT na short course ya nn programming au networking au nnWakuu amjanijibu swali langu mi Nina ujuzi mkubwa Sana kwwlenhe masuhala ya IT Ila cheti nilichonacho Ni cha short course je naweza kukitumia
ProgrammingMkuu una ujuzi upi na upi kwenye IT na short course ya nn programming au networking au nn
Umeiva hasa?? And lugha zipi upo fitProgramming
JAVA, PYTHON, C++, SCRATCH, KARELUmeiva hasa?? And lugha zipi upo fit
Omba mkuu kama una cheti cha JKT java na python zitakubeba sana ungepata na kacheti ka certified ungekuwa pazuri pia nmesoma tulioweza kuzipenda programming n wachacheJAVA, PYTHON, C++, SCRATCH, KAREL
Dah Sasa mkuu cha jkt Sina Ila nilikuwa nataka omba kuhusu hizo za awamu ya pili ambazo awajaweka jkt .Omba mkuu kama una cheti cha JKT java na python zitakubeba sana ungepata na kacheti ka certified ungekuwa pazuri pia nmesoma tulioweza kuzipenda programming n wachache
Hzo sjaona tangazo laoDah Sasa mkuu cha jkt Sina Ila nilikuwa nataka omba kuhusu hizo za awamu ya pili ambazo awajaweka jkt .
Zipo za wenye faniHzo sjaona tangazo lao
Omba mkuu huwez jua kuna wana degree za IT programming hawajui so omba ukiitwa interview nenda na project yoyote ambayo italeta impact jeshini all the bestZipo za wenye fani