southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 882
- 1,075
Sijajua ila waliotokea makambi yaliopo dodoma yaani sm na sg ni zaidi ya 150+Wangapi mbna ronja yako haijakamilika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua ila waliotokea makambi yaliopo dodoma yaani sm na sg ni zaidi ya 150+Wangapi mbna ronja yako haijakamilika
Lini MrBanks Lonja Yako haijakamilikaPdf Loading................ Za ndani kabisa
Fatilia vizuri ujue utupe information mkuuSijajua ila waliotokea makambi yaliopo dodoma yaani sm na sg ni zaidi ya 150+
wenye fani au?Pdf Loading................ Za ndani kabisa
PDF litatoka tu mwezi huu,maana mwezi ujao ni chama la wana,mwenye imani anunue kabisa tranka,trakisuti,raba,sabuni,viwembe,mafuta nk.
Nenda kwenye account yao Instagram wamepostMweny tangazo la jeshi la zimamoto naomba
Kaka bwnaa.Eti wenye Imani hahahahaPDF litatoka tu mwezi huu,maana mwezi ujao ni chama la wana,mwenye imani anunue kabisa tranka,trakisuti,raba,sabuni,viwembe,mafuta nk.
Hebu iweke hiyo account ya insta hapa, nimeangalia sijaonaNenda kwenye account yao Instagram wamepost
WanakujaWakuu kwa aliewahi kutuma maombi kwa njia ya e-mail naomba anielekeze kipengele cha picha
Vip kuhusu wenye faniWaliokuwa kozi CCP wameshamaliza,hivyo uwanja utakuwa mweupe kupokea kuruta sasa.
Lonja iliyopo nyingine ni UT wanaweza kutoa mkeka tena wa fursa kwa wenye elimu za diploma na bachelor(ni lonja tu,nisinukuliwe vibaya).
unabandika kwenye barua, then unascan stationary.Wanakuja
Wanasema mkubwa Mungu.Maaana swala ni zito huko makao makuu
La PT, MT, UT au Zimamoto?Maaana swala ni zito huko makao makuu
God over everything [emoji847]Narudia tena , Kama huna mtu huko juu, tulia tu nyumban
God over everything [emoji847]
Unaambiwa kama unaona wewe umekata tamaa usikatishe wenzio tamaa .post zako nyingi ni kukatisha watu tamaa humu ndani nimekusoma muda tu .huyo ibilisi yupo kwako usiforce kumleta kwa watu wengine cha ajabu usikute wewe haujawahi hata kutuma maombi na usikute una maisha yako fresh unaona uwakatishe tamaa vijana .maisha haya hakuna mjuaji zaidi ya mungu hata mungu afurahishwi na wanao katisha wenzao tamaa kwenye mambo ya maana na rizik kama haya .kumkatishana tamaa ni tabia za kishetani ..take your own responsibilitiesNarudia tena , Kama huna mtu huko juu, tulia tu nyumban