Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Wakubwa habari za leo.Vipi Lonja iko poaa? Msigombane jamani sisi ni kitu kimoja Vijana tunaotafuta Ridhiki.Haya Maisha tu,tunajaribu Mungu akikupa Leo basi mwingine nae atapewa Kesho.Kikubwa Dua na Sala Kila hatua...
 
Mzee Ajira si Kuna kupata na kukosa
Anajiona anajua kumbe mweupe tu .watu tunamshangaa sana kukosa ni sehemu ya maisha vile vile kwaiyo yeye yupo humu ndani kukatisha watu tamaa ilihali kashajijua yeye hana vigezo kabisa .[emoji2]
 
Anajiona anajua kumbe mweupe tu .watu tunamshangaa sana kukosa ni sehemu ya maisha vile vile kwaiyo yeye yupo humu ndani kukatisha watu tamaa ilihali kashajijua yeye hana vigezo kabisa .[emoji2]
Na Mara nyingi MTU akishaona hana vigezo huwa anaanza kukatisha tamaa wengine wivu tu wakijinga chamsingi watu waombe bhana
 
Anajiona anajua kumbe mweupe tu .watu tunamshangaa sana kukosa ni sehemu ya maisha vile vile kwaiyo yeye yupo humu ndani kukatisha watu tamaa ilihali kashajijua yeye hana vigezo kabisa .[emoji2]
Huyo mnapotezea tu ajichatishe mwnywe.
 
Chombo utakisikia tu kwenye bomba kijana, maana uonaonekana umekamia sana
Umejaa upepo .umeshakuwa mtoa rizk sasa kama wew ni mtoaji rizk sawa ila kama ww unaenda chooni kama sisi haitokuwa unavyotaka wewe ..god over everything [emoji847] ..husda zako na jiroho yako mbaya zitagonga mwamba tafuta lakufanya wew ni nusu mchawi nusu mtu hadi dk hii ...ukishajiona unaanza kupangia watu rizk basi jua tayari uchawi upo kwenye damu yako ...
 
Chombo utakisikia tu kwenye bomba kijana, maana uonaonekana umekamia sana
Roho inakuuma vijana tukijiangaikia kwenye mambo ya msingi me nikipata nitamshukuru Sana mungu nikikosa sita lalamika pia ni mipango ya mungu rizik itakuja hata kwa upande mwengine sasa imagine haunijui hatujuani lkn umekunja na husda imekujaa kma ww siyo mchawi bahati ..vijana tunatafuta hatutochoka kutafuta tukikosa hapa tutapata kwengine mungu ndiyo mtoa rizk ila usitupangie tukate tamaa kama huna vigezo hujawahi hata jaribu kaa kimya huna ujualo ndugu ww ni mweupe Kabisa [emoji847][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Roho inakuuma vijana tukijiangaikia kwenye mambo ya msingi me nikipata nitamshukuru Sana mungu nikikosa sita lalamika pia ni mipango ya mungu rizik itakuja hata kwa upande mwengine sasa imagine haunijui hatujuani lkn umekunja na husda imekujaa kma ww siyo mchawi bahati ..vijana tunatafuta hatutochoka kutafuta tukikosa hapa tutapata kwengine mungu ndiyo mtoa rizk ila usitupangie tukate tamaa kama huna vigezo hujawahi hata jaribu kaa kimya huna ujualo ndugu ww ni mweupe Kabisa [emoji847][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekubali,hakika haya Maneno ya Hekima sana
 
Jamaa ni roho mbaya imemjaa sidhani kama hata aliwahi jaribu kuomba ..anajiona mungu mtu
Yaaani isitoshe hata hatujuanii humu daaahhh Kuna watu wana Roho za wanga Sana.Kisa tu sisi tunapata Lonja Tu bado anaona wivuu
 
Rizik atoaye ni mungu na rizk inakujaga kwa wakati kama ukifika inakuja tu yenyewe vijana wenzangu tusikatishwe tamaa na miungu watu ambao hata wao wenyew rizk wanaipata kwa mungu . Alafu kwenye maisha haya ya utafitaji wa rizik ni lazima ukutane na watu wenye husda wakatishaji tamaa pamoja na roho mbaya hawa wote ni wafuasi wa shetani tu. Never give up .never lose hope [emoji120]
 
Back
Top Bottom