Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kujifariji wewe, sasa kuna watu, hawajaitwa kwenye usahili wowote, barua wameandika ovyo, hawaja ambatanisha barua za utambulisho,sifaless, hana mtu wa kusema toa huyu weka huyu hana, bado anawaza kuwa selected, [emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] swala la TPDF ni kwamba watachukuliwa walio kuwa kwenye fataki mbali mbali , kama ikulu chamwino, walio kuwa deti chato, na wengine wengi,Unaambiwa kama unaona wewe umekata tamaa usikatishe wenzio tamaa .post zako nyingi ni kukatisha watu tamaa humu ndani nimekusoma muda tu .huyo ibilisi yupo kwako usiforce kumleta kwa watu wengine cha ajabu usikute wewe haujawahi hata kutuma maombi na usikute una maisha yako fresh unaona uwakatishe tamaa vijana .maisha haya hakuna mjuaji zaidi ya mungu hata mungu afurahishwi na wanao katisha wenzao tamaa kwenye mambo ya maana na rizik kama haya .kumkatishana tamaa ni tabia za kishetani ..take your own responsibilities
Lazima tufike mahala tuseme ukweli, wizara ya mambo ya ndani imesema imetoa ajira 1000, na hao 1000 tayari waliitwa kwenye usahili dar, tena walikuwa buku na 400.Siyo kila atayekwenda CCP ni connection .hizi blah blaah zipo zitaendelea kuwepo atukatai washikwa mkono hawapo wapo wengi ila wamtegemeao mungu pia wapo tena wengi Sana .
Ukweli ndo huo.. TPDF kugumu jamani.. kama huku PT, UT, MT na ZT kumekupa changamoto mhh.. kazi unayo huko..Acha kujifariji wewe, sasa kuna watu, hawajaitwa kwenye usahili wowote, barua wameandika ovyo, hawaja ambatanisha barua za utambulisho,sifaless, hana mtu wa kusema toa huyu weka huyu hana, bado anawaza kuwa selected, [emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] swala la TPDF ni kwamba watachukuliwa walio kuwa kwenye fataki mbali mbali , kama ikulu chamwino, walio kuwa deti chato, na wengine wengi,
Hatari sana kakaMaaana swala ni zito huko makao makuu
Kaka walioitwa dar kwa upande wa polisi ni wale wenye fani tu, ambao kwa idad ya polisi hawafiki hata 300 wanaohitajika ingawa interview ilifanyika kwa watu zaidi ya 1400+...level ya form 4 na 6 zinafanyika mikoanLazima tufike mahala tuseme ukweli, wizara ya mambo ya ndani imesema imetoa ajira 1000, na hao 1000 tayari waliitwa kwenye usahili dar, tena walikuwa buku na 400.
Huna ujualo umeandika pumba wewe kumbe ni bonge la kilaza ..[emoji2][emoji2][emoji2]Acha kujifariji wewe, sasa kuna watu, hawajaitwa kwenye usahili wowote, barua wameandika ovyo, hawaja ambatanisha barua za utambulisho,sifaless, hana mtu wa kusema toa huyu weka huyu hana, bado anawaza kuwa selected, [emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] swala la TPDF ni kwamba watachukuliwa walio kuwa kwenye fataki mbali mbali , kama ikulu chamwino, walio kuwa deti chato, na wengine wengi,
Huna unachojua kaa kimya ujajitutumua Sana mwisho wa siku bado kichwani mwako Ni mweupe kma karatasi ya reemLazima tufike mahala tuseme ukweli, wizara ya mambo ya ndani imesema imetoa ajira 1000, na hao 1000 tayari waliitwa kwenye usahili dar, tena walikuwa buku na 400.
Usijisumbue kumuelekeza huyo jamaa kichwani ni mweupe peee mihemko inasumbuaHatari sana kaka
Kaka walioitwa dar kwa upande wa polisi ni wale wenye fani tu, ambao kwa idad ya polisi hawafiki hata 300 wanaohitajika ingawa interview ilifanyika kwa watu zaidi ya 1400+...level ya form 4 na 6 zinafanyika mikoan
Sawa babaHuna ujualo umeandika pumba wewe kumbe ni bonge la kilaza ..[emoji2][emoji2][emoji2]
Sina mihamko janja nakwambia ukweliUsijisumbue kumuelekeza huyo jamaa kichwani ni mweupe peee mihemko inasumbua
Sawa , wewe jidanganye na malonja ya ovyoHuna unachojua kaa kimya ujajitutumua Sana mwisho wa siku bado kichwani mwako Ni mweupe kma karatasi ya reem
Utaniambia , hizi nafasi ni chache sana , technical, kupenya ni zero is equal to zeroHatari sana kaka
Kaka walioitwa dar kwa upande wa polisi ni wale wenye fani tu, ambao kwa idad ya polisi hawafiki hata 300 wanaohitajika ingawa interview ilifanyika kwa watu zaidi ya 1400+...level ya form 4 na 6 zinafanyika mikoan
Wanataka wapate walizi na doriaSasa Mbona wanaajiri vilaza waliopiga zero? Sasa Forensic na Cyber Investigation watu waliopata Sifuri watayaweza kweli?
Mkuu kichwa chako kigumu sana..hizo nafasi za cyber na forensic wanaajiri watu wenye fani husika..kuna MDs, kuna lab personells, kuna ITs na kada zingine ...watu wenye fani zao tayari...sisi tulikuwepo kwenye usaili .Form 4 na form 6 ni mikoani huko.Dar es salaam ilikuw watu wenye degree, diploma na CertificateSasa Mbona wanaajiri vilaza waliopiga zero? Sasa Forensic na Cyber Investigation watu waliopata Sifuri watayaweza kweli?
SureMkuu kichwa chako kigumu sana..hizo nafasi za cyber na forensic wanaajiri watu wenye fani husika..kuna MDs, kuna lab personells, kuna ITs na kada zingine ...watu wenye fani zao tayari...sisi tulikuwepo kwenye usaili .Form 4 na form 6 ni mikoani huko.Dar es salaam ilikuw watu wenye degree, diploma na Certificate
Utaniambia , hizi nafasi ni chache sana , technical, kupenya ni zero is equal to zero
Yani wewe pia ni kilaza kwa kushindwa kutambua hao unaowaita vilaza watapewa majukumu yapiSasa Mbona wanaajiri vilaza waliopiga zero? Sasa Forensic na Cyber Investigation watu waliopata Sifuri watayaweza kweli?
Tatizo lenu mmekaza ubongo hamuelewi kuwa police kwenye hizo depts wanaajiri professionals...mmekula maharagwe ya wapi vijana au ndio stress za maishaWanataka wapate walizi na doria
Well done, utatoboa tu sehemu mojaSina connection [emoji28]na maombi nimeomba sehemu zote tatu hata kama nitakosa At least nilijaribu
Try and fail don't fail to try
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app