Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Vigezo ni jkt?? Hahah!! Wakati watu wanaingia huko kila siku bila hata kupitia jkt!!! Na wapo wataoingia hata ambao fani zao hazikutajwa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nazungumzia utaratibu official kabisa wa jeshi la Magereza. Kitakachofanyika ni hicho. JKT na kozi zilizotajwa kwa wale waliotuma barua. Kama kuna utaratibu mwingine unaoujua basi huo sio official.
 
NDC sio lazima uwe Jwtz...cuz kule wanatoa masters in security n.k
NDC wanatoa kozi maalumu kulingana na mahitaji ya nchi kwenye nyanja mbalimbali za ulinzi na usalama. Wanaosoma pale ni waajiriwa wa taasisi mbalimbali za ulinzi na usalama.
 
NDC wanatoa kozi maalumu kulingana na mahitaji ya nchi kwenye nyanja mbalimbali za ulinzi na usalama. Wanaosoma pale ni waajiriwa wa taasisi mbalimbali za ulinzi na usalama.
Wanaosoma pale ni maafisa wa jeshi wenye cheo kuanzia Kanari na 'directors' wa idara mbali mbali za serikali za nchi mbalimbali.
 
Huyu hafai kuajiriwa katika taasisi za ulinzi na usalama. Hawezi kutunza siri. Upuuzi huu. Kuna vitu vya kuweka public unless kama umejiandikia tu..lakini still ni show off za kipuuzi.
Tukiwaambia mujibu hawajaiva hua mnabisha humu sasa huu si u raia kabisa haya ndio yanayokufaga rts hayajitambui yanabebwa tu na wajomba

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huyu hafai kuajiriwa katika taasisi za ulinzi na usalama. Hawezi kutunza siri. Upuuzi huu. Kuna vitu vya kuweka public unless kama umejiandikia tu..lakini still ni show off za kipuuzi.
Watu wanasahau kama jamii forum inaangaliwa na watu wengi sana!! Unaweza kuta mbuyu aliyembwia amtumie hizo taarifa yupo humu... Sa kijana si atakuwa ashaalibu kazi hapo [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NYAMAZA🤐🤐🤐

1. UMEPATA PROMOTION KAZINI?
Nyamaza kwanza na umshukuru Mungu chumbani pamoja na waliosimama nawe.

2. UMEPATA MCHUMBA?
Nyamaza huku mkiendelea na mipango yenu kimya kimya....

3. UMEPATA SAFARI?
Nyamaza kimya tulia utawasimulia ukisharudi au ukishafika huko.

4. UNAJENGA NYUMBA YAKO?
Msingi tu ushaanza kuupost mitandaoni Nyamaza hadi nyumba iishe.

5. UMEPATA MIMBA KWENYE NDOA?
Tulia kama vile huna mimba. Si wote wanaofurahia usiite vita wakati hujajipanga.

6. UMEAHIDIWA KITU?Kupewa mtaji na mtu, kutafutiwa kazi, Kufanyiwa jambo kubwa? nk acha kuongeaongea wakati bado hajatimiza.

7. MTOTO WAKO AMEFAULU SANA?
Nyamaza bado ana safari ndefu usimwinulie vita mapema...nyamaza na kumwombea.

KOSA LA WENGI
👇👇👇
Kosa tunalolifanya ni kuamini kwamba kila tunapofurahi tunadhani kila mtu atafurahi pamoja nasi,hapana haiko hivyo. Unamshirikisha mtu furaha yako kumbe ndiye mtesi wako namba 1 na unampa nafasi ya kuharibu furaha yako na mipango.

👉Idadi ya watu wanaofurahi nasi tunapofurahi na wanaolia pamoja nasi tunapolia,ni idadi ndogo sana 😢

Lakini idadi ya watu WANAOFURAHI TUNAPOLIA na WANAOLIA TUNAPOFURAHI ni kubwa mno!
Kwa mantiki hiyo basi idadi ya wanaotupiga vita na kutuombea tufeli ni kubwa sana....kitu pekee ambacho unaweza kuwa huru kufanya mbele za watu wote ni INJILI YA YESU tu...wapende wasiipende itawafikia tu, wakitupiga vita injili yenyewe inajipigania na kujitetea.

WATU wanabadilika, MAISHA yanapanda na kushuka,
VITU vinapita
NENO LA BWANA litasimama.
Na wewe simama na Neno la Bwana na uliishi na kuliamini.
-----------------------------------
 
Huyu hafai kuajiriwa katika taasisi za ulinzi na usalama. Hawezi kutunza siri. Upuuzi huu. Kuna vitu vya kuweka public unless kama umejiandikia tu..lakini still ni show off za kipuuzi.
Kafeli pakubwa sanaaaa aisee
 
Huyu hafai kuajiriwa katika taasisi za ulinzi na usalama. Hawezi kutunza siri. Upuuzi huu. Kuna vitu vya kuweka public unless kama umejiandikia tu..lakini still ni show off za kipuuzi.
Nimeshangaa afu screen shoot yake inaonhesha muda aliopiga hii picha na teknolojia ilivyo sasa uyu ajirekebishe vijana tunacshida sana
 
Tukiwaambia mujibu hawajaiva hua mnabisha humu sasa huu si u raia kabisa haya ndio yanayokufaga rts hayajitambui yanabebwa tu na wajomba

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kaweka na jina la mjomba wake kabisa na alichati nae jumamosi picha inaonyesha yani huyu wakimfanyia reconisence wakimpate mjomba wake au yeye watamwagia kwa ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…